From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

kumi na tatu, sita zimekopwa.
Siku niliposoma makala ya Ngurumo gazeti la Uhuru, wakati wa msiba aliandika kuwa sirikali iliwakodi watu na kuwapa maelekezo ya kuigiza kumlilia Magu Nchi nzima nilijua Kweli chuki ni mbaya.
 
Usijali walioandika kitabu hiyo ni SIMPLE Mindset bali jielekeze kwenye HOJA ndiyo utakuwa Great thinker.

Simple minds discuss people, ordinary minds discuss events while greater minds discuss ideas.

Nawatahadharisha tusiingie mtego wa ku discuss watu. Tutakuwa SIMPLE MINDS kama mtoa mada
Nadhani mtoa hoja lake anataka tujikite kwenye hoja tujue lengo la hao watu kuandika hicho kitabu. Bila shaka wenye kuwajua binafsi ndio wanaweza kuchangia.
 
Usijali walioandika kitabu hiyo ni SIMPLE Mindset bali jielekeze kwenye HOJA ndiyo utakuwa Great thinker.

Simple minds discuss people, ordinary minds discuss events while greater minds discuss ideas.

Nawatahadharisha tusiingie mtego wa ku discuss watu. Tutakuwa SIMPLE MINDS kama mtoa mada
Kwa sasa watu muhimu,,, kitabu kinamhusu mtu,, na lazima waliokiandika nao wajadiliwe na wafadhili wao
 
Natoa wito watu tujifunze kujadili hoja na sio kujadili watu!. Jadili hoja za waandishi hao kwenye maandiko yao na sio kuwajidili wao binafsi zao.
P
Huu ukali ghafla wa nini tena!.

Ukitaka mtu ajadiliwe kile alichoandika naona kwanza tuanze kumtazama mwandishi mwenyewe kama anaendana na kile alichokiandika, "mayala" hufanya watu wasiwe na msimamo wakati mwingine.
 
Siku niliposoma makala ya Ngurumo gazeti la Uhuru, wakati wa msiba aliandika kuwa sirikali iliwakodi watu na kuwapa maelekezo ya kuigiza kumlilia Magu Nchi nzima nilijua Kweli chuki ni mbaya.
Mh! Gazeti la uhuru si ni la ccm? Ilikuwaje tena wakaruhusu ngurumo kuandika aliyoyaandika?
 
Natoa wito watu tujifunze kujadili hoja na sio kujadili watu!. Jadili hoja za waandishi hao kwenye maandiko yao na sio kuwajidili wao binafsi zao.
P
Kumbe wao kwenye hicho kitabu hawakujadili mtu! au ndo ile mkuki kwa nguruwe.......
 
Mh! Gazeti la uhuru si ni la ccm? Ilikuwaje tena wakaruhusu ngurumo kuandika aliyoyaandika?
Lile ni gazeti maalum , Huwa halina bias. Si la CCM ni la watu maalum Kwa maslah ya nchi.
 
Waangalie tu Ngurumo, Meena na Kibanda wametokea wapi katika safari yao ya uandishi wa habari halafu jikumbushe Manyerere alivyoomba Uteuzi kwa Shujaa Magufuli na kupuuzwa utaelewa fika hawa waandishi wanaumizwa na nini

Na hata mfadhili wao hutapata Shida kumjua

Na nje ya Maridhiano utaujua tu Upande waliopo

Jumatatu Mbarikiwe sana!
Wheather wanatoka gazeti la udaku au wanafadhiliwa na nani haituhusu.
Contect za kitabu ndo kitu cha muhimu.
Kitabu kingekosa maudhui fundishi kingepigwa ban.
Sasa kimejaa mafundisho rejea ndo maana kipo na kitakuwepo kizazi na kizazi.
Tunawashukuru san waandishi kwa kutuandikia fact kwa ajili ya leo na kizazi kijacho.
Mbarikiwe mno
 
Natoa wito watu tujifunze kujadili hoja na sio kujadili watu!. Jadili hoja za waandishi hao kwenye maandiko yao na sio kuwajidili wao binafsi zao.
P
Paskal.
Paskal.
Paskal.
Nakuita paskal.

Nasema paskal mwanangu umekomaa.
Asante paskal
 

Yaliyojificha uwekezaji wa Hayati Dk Magufuli Chato yawekwa vitabuni​

Ijumaa, Aprili 14, 2023
magufuli-pic.jpg



Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka miwili tangu aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli kupoteza maisha Machi 17, 2021 akiwa madarakani, waandishi wakongwe wanne wamezindua kitabu kinachoonyesha sura ya kiongozi huyo na uwekezaji mkubwa alioupeleka wilayani Chato.

Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu ndio waandishi walioandika kitabu hicho chenye jina 'I am the State' ikiwa na maana Mimi ndio Dola.

Kitabu hicho linaonyesha hali ilivyo sasa wilayani Chato alipozaliwa kiongozi huyo mkuu wa nchi baada ya miradi mikubwa ya maendeleo
Miongoni mwa mambo yaliyoangaziwa katika kitabu hicho ni wanyama waliopelekwa Chato enzi ya utawala wa Rais Dk Magufuli, ujenzi wa kiwanja cha ndege, uboreshaji mkubwa wa miundombinu, wananchi kukimbilia kununua viwanja, ujenzi wa masoko na miradi mingineyo.

Pia kitabu hicho kimeangazia fedha zilizopelekwa wilayani huko zitarejeshwaje, mpango wa wilaya hiyo kuandaliwa kuwa mkoa uko uliishia wapi.

Kabla ya uzinduzi wa kitabu hicho Ansbert Ngurumo amesema jina la kitabu limetokana na hofu iliyoshuhudiwa baada ya utawala wa hayati Dk Magufuli tangu mwaka 2015-2021 kuelekeza miradi mingi eneo alikozaliwa bila kuwepo mtu aliyehoji.

Amesema kilichofanyika ndani ya utawala wa Dk Magufuli ilikuwa ni historia ya kipekee kwani awamu zote za viongozi waliopita hapa nchini hakukuwa na kiongozi aliyefanya uwekezaji mkubwa eneo alilotoka.

Mbali na uwekezaji walioutaja kuwa na dalili zote za ubinafsi alioufanya kiongozi huyo, amesema upo ukandamizaji mkubwa alioufanya kwenye jamii na kutoa kauli zenye vitisho kuonyesha hakuna aliye juu yake.

"Kama mnafikiri mpo huru kiasi hicho watch it,"Kauli hayati Dk Magufuli enzi ya uhai wake ambaye imeleta tafsiri kwenye kitabu hicho namna ambavyo uongozi wake haukutetereshwa na kitu chochote.

Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao.

Amesema kitabu cha I am the State kinaonyesha namna fedha za umma zilivyotumika nje ya bajeti ya bajeti ya serikali.

"Mambo yaliyotajwa katika kitabu hiki yalitendeka nchi ikiwa gizani na watu walinyamazishwa na haya yaliyoandikwa ni sehemu ndogo ya yaliyotendeka nchi ikiwa gizani"amesema.
Waandishi washirika wa majizi

Waambieni waandike pia kuhusu hii: https://www.bbc.co.uk/news/live/uk-65474712
 
Nadhani mtoa hoja lake anataka tujikite kwenye hoja tujue lengo la hao watu kuandika hicho kitabu. Bila shaka wenye kuwajua binafsi ndio wanaweza kuchangia.
Lengo la hao watu ni kuonyesha ufisadi na UHAYAWANI wa Magufuli katika miaka 5. Kwa vile watanzania wengi ni wajinga wanadhani Magufuli alikuwa mzalendo kweli. Kumbe alikuwa mchafu tu
 

Yaliyojificha uwekezaji wa Hayati Dk Magufuli Chato yawekwa vitabuni​

Ijumaa, Aprili 14, 2023
magufuli-pic.jpg



Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka miwili tangu aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli kupoteza maisha Machi 17, 2021 akiwa madarakani, waandishi wakongwe wanne wamezindua kitabu kinachoonyesha sura ya kiongozi huyo na uwekezaji mkubwa alioupeleka wilayani Chato.

Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu ndio waandishi walioandika kitabu hicho chenye jina 'I am the State' ikiwa na maana Mimi ndio Dola.

Kitabu hicho linaonyesha hali ilivyo sasa wilayani Chato alipozaliwa kiongozi huyo mkuu wa nchi baada ya miradi mikubwa ya maendeleo
Miongoni mwa mambo yaliyoangaziwa katika kitabu hicho ni wanyama waliopelekwa Chato enzi ya utawala wa Rais Dk Magufuli, ujenzi wa kiwanja cha ndege, uboreshaji mkubwa wa miundombinu, wananchi kukimbilia kununua viwanja, ujenzi wa masoko na miradi mingineyo.

Pia kitabu hicho kimeangazia fedha zilizopelekwa wilayani huko zitarejeshwaje, mpango wa wilaya hiyo kuandaliwa kuwa mkoa uko uliishia wapi.

Kabla ya uzinduzi wa kitabu hicho Ansbert Ngurumo amesema jina la kitabu limetokana na hofu iliyoshuhudiwa baada ya utawala wa hayati Dk Magufuli tangu mwaka 2015-2021 kuelekeza miradi mingi eneo alikozaliwa bila kuwepo mtu aliyehoji.

Amesema kilichofanyika ndani ya utawala wa Dk Magufuli ilikuwa ni historia ya kipekee kwani awamu zote za viongozi waliopita hapa nchini hakukuwa na kiongozi aliyefanya uwekezaji mkubwa eneo alilotoka.

Mbali na uwekezaji walioutaja kuwa na dalili zote za ubinafsi alioufanya kiongozi huyo, amesema upo ukandamizaji mkubwa alioufanya kwenye jamii na kutoa kauli zenye vitisho kuonyesha hakuna aliye juu yake.

"Kama mnafikiri mpo huru kiasi hicho watch it,"Kauli hayati Dk Magufuli enzi ya uhai wake ambaye imeleta tafsiri kwenye kitabu hicho namna ambavyo uongozi wake haukutetereshwa na kitu chochote.

Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao.

Amesema kitabu cha I am the State kinaonyesha namna fedha za umma zilivyotumika nje ya bajeti ya bajeti ya serikali.

"Mambo yaliyotajwa katika kitabu hiki yalitendeka nchi ikiwa gizani na watu walinyamazishwa na haya yaliyoandikwa ni sehemu ndogo ya yaliyotendeka nchi ikiwa gizani"amesema.
Inaonyesha waandishi ni watu wenye chuki tu na jpm na wanatumika tu na maadui ws nchi. Kilichoelezwa hapo ni uwekezaji chato kama uwekezaji mkubwa uliyofanyika nchi nzima. Wala sio uwekezaji kwa faida ya magufuli binafsi ila kwa raia wa nchi wana chato kama wengine watakavyofaidi uwekezsji nchini kote. Pia hakuna ubadhirifu wala upigaji. Sasa hawa mazezeta wanaofikiri wana akili sijui wanafikiri nini kama sio kuwafurahisha mabeberu adui za taifa la tanzania.
 
Moja kisa kilichoandikwa kwenye kitabu Cha I am....... Cha Waandishi wetu pendwa wanao ongozwa na wale walio kimbiaga nchi ni hiki.

Naomba kunukuu!

Rais Magufuli alimwalika Rais Mkapa nyumbani kwake,Rais mkapa alivyofika chato alishangazwa na maendeleo yaliyokuwa yamefikiwa,hasa alishangazwa na mahekalu aliyoyajenga Rais Magufuli hapo kwake chato na ghaflA alimgeukia mlinzi wake na kumweleza hivi"sikujua kama ikulu Kuna utajili"

Hii ni kauli ya kichonganishi,kichafuzi na haifai kuvumiliwa,kwanza waandshi hao hhawakusema ALIYEKWAMBIA hiyo kauli ni mlinzi wa hayati mkapa au?

Au na wao siku hiyo walikuwepo eneo la tukio?

Pili nani hasiye jua yakuwa zile nyumba za mzes pale chato zilijengwa wakati wa uwaziri wake?

Kwa nn serikali ya awamu ya sita inakalia kimnya mambo ya namna hii yasambazwe kumchafu mzirankende?
 
Moja kisa kilichoandikwa kwenye kitabu Cha I am....... Cha Waandishi wetu pendwa wanao ongozwa na wale walio kimbiaga nchi ni hiki.

Naomba kunukuu!

Rais Magufuli alimwalika Rais Mkapa nyumbani kwake,Rais mkapa alivyofika chato alishangazwa na maendeleo yaliyokuwa yamefikiwa,hasa alishangazwa na mahekalu aliyoyajenga Rais Magufuli hapo kwake chato na ghaflA alimgeukia mlinzi wake na kumweleza hivi"sikujua kama ikulu Kuna utajili"

Hii ni kauli ya kichonganishi,kichafuzi na haifai kuvumiliwa,kwanza waandshi hao hhawakusema ALIYEKWAMBIA hiyo kauli ni mlinzi wa hayati mkapa au?

Au na wao siku hiyo walikuwepo eneo la tukio?

Pili nani hasiye jua yakuwa zile nyumba za mzes pale chato zilijengwa wakati wa uwaziri wake?

Kwa nn serikali ya awamu ya sita inakalia kimnya mambo ya namna hii yasambazwe kumchafu mzirankende?
Si mlisema hamkisomi hiki kitabu na wengine mkasema karatasi zake mnachambia shit.
 
Back
Top Bottom