cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Kama mtu mzima anapambana na maiti. Huyo atakuwa ni zaidi ya Mpumbavu.Ww deal na ripoti ya CAG, wengine wanadeal kuanika uchafu wa dhalimu.
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mtu mzima anapambana na maiti. Huyo atakuwa ni zaidi ya Mpumbavu.Ww deal na ripoti ya CAG, wengine wanadeal kuanika uchafu wa dhalimu.
Kwa kipi sasa?Sio wabarikiwe?
Kuchukua eneo kijijini kwake ukajenga ni rahisi kulikuko kuchukua eneo nje ya nchiYeye na hao wanaojenga huko nje hawana tofauti. Huwezi ukachukua kodi za wananchi eti ukajenge kwenu afu ulete implication kuwa wewe ni bora kuliko hao wezi wanaojenga nje. Wote ni wezi. Unataka kwenda kufanya massive investments kwenu, nenda kachukue hela za babako ufanye hivyo maninax sio kodi za wananchi
Mama Naye si alifeli hapa na pale kw hiyo aibu hanaNdugu usilalamike sana kuhusu Magu,najua alikutumbua na vyeti vyako fake,Mama kasema wote wenye vyeti fake anawarudisha tena kazini na ma fake yenu ili muendeleze tena usanii wenu wa upigaji!!
Alikuwa rais wa ajabu sana. Vizazi na vizazi vitamtumia kama Rais aliyekuwa mbaguzi.Chuki kumzidi Magufuli ambaye alikiri kutokupeleka maendeleo majimbo ya wapinzani-akasema yakikosa koneksheni?
acha upuuziKuchukua eneo kijijini kwake ukajenga ni rahisi kulikuko kuchukua eneo nje ya nchi
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Vipi kuhusu gwajima mfufua wafu mbona hajaenda chato kumfufua mungu wenu. Hahaha sijamuona hata kwenye kuaga pale uwanja wa taifaHilo li askofu nalo linawaumini kabisa kuna watu wanasali kwake kiongozi wa dini mwenye chuki?
Dar bookshop vipo mkuuWapi nitajipatia nakala yangu?
Bei sh ngapi?Dar bookshop vipo mkuu
Kweli inashindana na propganda na legacy fake ya Mwendazake.Mnashindana ila hakika HAMTASHINDA.
Natoa wito watu tujifunze kujadili hoja na sio kujadili watu!. Jadili hoja za waandishi hao kwenye maandiko yao na sio kuwajidili wao binafsi zao.Waangalie tu Ngurumo, Meena na Kibanda wametokea wapi katika safari yao ya uandishi wa habari halafu jikumbushe Manyerere alivyoomba Uteuzi kwa Shujaa Magufuli na kupuuzwa utaelewa fika hawa waandishi wanaumizwa na nini
Na hata mfadhili wao hutapata Shida kumjua
Na nje ya Maridhiano utaujua tu Upande waliopo
Jumatatu Mbarikiwe sana!
Usijali walioandika kitabu hiyo ni SIMPLE Mindset bali jielekeze kwenye HOJA ndiyo utakuwa Great thinker.Waangalie tu Ngurumo, Meena na Kibanda wametokea wapi katika safari yao ya uandishi wa habari halafu jikumbushe Manyerere alivyoomba Uteuzi kwa Shujaa Magufuli na kupuuzwa utaelewa fika hawa waandishi wanaumizwa na nini
Na hata mfadhili wao hutapata Shida kumjua
Na nje ya Maridhiano utaujua tu Upande waliopo
Jumatatu Mbarikiwe sana!
Mkuu mbona umeniibia hoja yangu?? Kongole sana lakini Pascal Mayalla kwa kumdhibiti mtoa madaNatoa wito watu tujifunze kujadili hoja na sio kujadili watu!. Jadili hoja za waandishi hao kwenye maandiko yao na sio kuwajidili wao binafsi zao.
P
Fact, nakubaliana na wewe mkuu na hii ifike mwisho.Natoa wito watu tujifunze kujadili hoja na sio kujadili watu!. Jadili hoja za waandishi hao kwenye maandiko yao na sio kuwajidili wao binafsi zao.
P
Hata wao wamejadili na kuandika mtu as parson attack sio hoja , soma lile likitabu lao .Natoa wito watu tujifunze kujadili hoja na sio kujadili watu!. Jadili hoja za waandishi hao kwenye maandiko yao na sio kuwajidili wao binafsi zao.
P
Ata wao Waandishi wamejikita kujadili mtu,title yenyewe ya kitabu,"I am the state" hii siyo personal attack?hawakuwa Euphemic kabisa.Natoa wito watu tujifunze kujadili hoja na sio kujadili watu!. Jadili hoja za waandishi hao kwenye maandiko yao na sio kuwajidili wao binafsi zao.
P