From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

Kiukweli nilitokea kumchukia sana hayati Magufuli hasa kwa mambo 'binafsi' hata kabla hajawa rais!

Ila pamoja na yote Magufuli alikua ana afadhali ukimlinganisha na Kikwete au Samia tuongee tu kwa kumtendea haki.

Ni nani hakupapendelea kwao nchi hii?

Nyerere na Mara? Nyerere na akina Butiku?

Mwinyi na Zanzibar/Mkuranga?

Mkapa na kusini?

JK?

Pili kuna haja gani ya kutumia rasilimali kubwa hivyo kuchapisha kitabu chenye maudhui yasiyo na msaada? Lengo ni kujifunza? Kama ni kujifunza si tunayo historia ya Gbadolite huko Zaire sasa DRC? Nani ana fadhili hayo na kwa maslahi gani?

Magufuli ni lost case kwa sasa haya hayatusaidii.

Mwisho tuwe makini sana na waandishi uchwara maana huu ni ulaji unatafutwa kwa mtu na ni njia ya kututoa kwenye reli.
Hivi kuna anayemsifia bwana joni mwendazake! Kuna mtu anataka kulinganisha butiama na chato? Mkuranga na chato? Lupaso na chato? msoga na chato?
tuwe tu serious jamani! watanzania hatuna umakini wowote kwenye uchaguzi wa viongozi!
Huyu aliyeuza nyumba za serikali binafsi akiwa waziri na kugawia michepuko yake?
Huyu aliyediriki kuchepusha barabara ipitie nyumbani kwake chato akiwa waziri?
Tukubali kujifunza kwa maandiko haya tusije kujisahau tena
Tukachagua U4- Uthubutu - Ushupavu - Ubinafsi - Ukabila. Tuwachunguze watu tunaowapeleka ikulu!
Tulipigwa kiboko baada ya kutojali ule ubinafsi aliouonyesha akiwa waziri.
Nilikuwepo kwenye mojawapo ya kampeni zake sehemu ya biharamulo ambao aliwanyima barabara iliyokuwa ipitie kwao! walipomlalamikia aliwaambia hivi- "kunyeni mavi mubandike barabarani iwe lami"
Huko Kigamboni aliwaambiaje kuhusu kushusha bei ya nauli ya pantoni? "kama hamna hiyo hela pigeni mbizi"
Lugha za uhuni/ukibaka na akathibitisha kwenye uongozi wake kwa kutuwekea mavibaka kama kina Sabaya, Makonda nk.
Ansbert andikeni kitabu kingine kuhusu umuhimu wa hekima katika uongozi.
 
Hivi kuna anayemsifia bwana joni mwendazake! Kuna mtu anataka kulinganisha butiama na chato? Mkuranga na chato? Lupaso na chato? msoga na chato?
tuwe tu serious jamani! watanzania hatuna umakini wowote kwenye uchaguzi wa viongozi!
Huyu aliyeuza nyumba za serikali binafsi akiwa waziri na kugawia michepuko yake?
Huyu aliyediriki kuchepusha barabara ipitie nyumbani kwake chato akiwa waziri?
Tukubali kujifunza kwa maandiko haya tusije kujisahau tena
Tukachagua U4- Uthubutu - Ushupavu - Ubinafsi - Ukabila. Tuwachunguze watu tunaowapeleka ikulu!
Tulipigwa kiboko baada ya kutojali ule ubinafsi aliouonyesha akiwa waziri.
Nilikuwepo kwenye mojawapo ya kampeni zake sehemu ya biharamulo ambao aliwanyima barabara iliyokuwa ipitie kwao! walipomlalamikia aliwaambia hivi- "kunyeni mavi mubandike barabarani iwe lami"
Huko Kigamboni aliwaambiaje kuhusu kushusha bei ya nauli ya pantoni? "kama hamna hiyo hela pigeni mbizi"
Lugha za uhuni/ukibaka na akathibitisha kwenye uongozi wake kwa kutuwekea mavibaka kama kina Sabaya, Makonda nk.
Ansbert andikeni kitabu kingine kuhusu umuhimu wa hekima katika uongozi.
Ansbert Ngurumo ni shoga analiwa na mzungu anayemfadhili kuandika kitabu cha kuchafua viongozi wetu shupavu.
 
Hivi kuna anayemsifia bwana joni mwendazake! Kuna mtu anataka kulinganisha butiama na chato? Mkuranga na chato? Lupaso na chato? msoga na chato?
tuwe tu serious jamani! watanzania hatuna umakini wowote kwenye uchaguzi wa viongozi!
Huyu aliyeuza nyumba za serikali binafsi akiwa waziri na kugawia michepuko yake?
Huyu aliyediriki kuchepusha barabara ipitie nyumbani kwake chato akiwa waziri?
Tukubali kujifunza kwa maandiko haya tusije kujisahau tena
Tukachagua U4- Uthubutu - Ushupavu - Ubinafsi - Ukabila. Tuwachunguze watu tunaowapeleka ikulu!
Tulipigwa kiboko baada ya kutojali ule ubinafsi aliouonyesha akiwa waziri.
Nilikuwepo kwenye mojawapo ya kampeni zake sehemu ya biharamulo ambao aliwanyima barabara iliyokuwa ipitie kwao! walipomlalamikia aliwaambia hivi- "kunyeni mavi mubandike barabarani iwe lami"
Huko Kigamboni aliwaambiaje kuhusu kushusha bei ya nauli ya pantoni? "kama hamna hiyo hela pigeni mbizi"
Lugha za uhuni/ukibaka na akathibitisha kwenye uongozi wake kwa kutuwekea mavibaka kama kina Sabaya, Makonda nk.
Ansbert andikeni kitabu kingine kuhusu umuhimu wa hekima katika uongozi.
Inabidi watetezi wa huyu mtu wakapimwe akili
 
Wapi huko unakoishi wewe ambako wanamuabudu Samia? Ni Msoga au Zanzibar?
 
Humu ambako kila mtu anaweza kujifanya ni msomi na ana pesa? Humu ambako mtu mmoja ana ID kumi? Humu ambapo wengine wanaishi nje ya Tanzania?
 
Watanzania siyo wajinga kiasi hicho kwa sasa.
Hata mkiandika vitabu zaidi ya 60,000,000 vya kumchafua JPM, nawaambia hamtaweza hata kidogo.

JPM ni habari nyingine, ule ulikuwa ni mtambo wa NYUKLIA. Ona mnavyopata taabu sasa. JPM anaishi mioyoni mwa Watanzania wazalendo zaidi ya 91%.
Nenda mitaani humo, iwe Mjini au vijijini, watu wa rika zote wanamkumbuka JPM.
Kamwe kamwe kamwe kamwe hamtaweza kumchafua JPM.
Mchafu, hachafuliwi mara mbili.
Kwani si mtuache tunaoeleza maovu yake na nyie mshike yenu ya kumpamba
 
Ukiuliza kwanini fedha nyingi zilipelekwa Chato utajibiwa kwani Chato ipo Sudan.

Matendo ya Magufuli na kauli zake za kifedhuli ikiwemo ile aliyoitoa kwa Waanga wa tetemeko la ardhi Bukoba ni sababu tosha ya kutengeneza Katiba mpya.

Katika kipindi cha miaka 5 Magufuli alipendelea Wilaya yake ya Chato kuliko kitu chochote.
nao wamezidi sasa na ebola kwao wamrudie mungu sio bure iko sababu
 
Aachwe apumzike! Kama serikali ya SSH itaendelea kuruhusu udhalilishaji huu dhidi ya kiongozi mkuu wa nchi mzalendo aliyetangulia mbele za haki basi wajue wanawakwaza watu wengi sana.
waacheni watanzania wajue kila jambo kumhusu huyu jamaa, hii ndiyo njia pekee ya kujua nyayo zake - vpi na ule mzigo ulioenda China wameuandikamo? 😀
 
Back
Top Bottom