Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,758
- 6,299
FT Wydad 2-1 MamelodyKumbuka waydad ameenda kwa madiba mara kazaa.. ila huwa anapata matokeo anayoyataka.. na mamelodi huwa anatolewa na waydad.
Nusu fainali ya caf champions league mwaka huu waydad alienda kufuzu kwa madiba..
Mamelody ni mzuri sana ugenini kuliko kwao. Leo wamepigwa ugenini. Bado ngoma ni ngumu sana.
Bonge ya game hatari sana.