Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe bakia wangefungwa.Ihefu tu kawafunga 2 unazungumzia wanaume?Kwa matokeo ya leo, makolo wangecheza na sundowns wangekula 5
Kulikuwa na mawasiliano pale na waliokuwa wanacheck ni watu waliopo kwenye chumba cha V.A.RMasandawana aka bafana style wameupigwa mwingi hakika tumeona mechi ya kusisimua .
Hata hivyo bado kuna udhaifu umefanyika wa refa pale mendieta wa mamelodi aliposukumwa Kwenye eneo la penalti , var ikaandika checking for foul lakini refa akapeta , hawa waarabu wabebwa sana .
Egypt Kuna ban na huko viwanja hujaa kama kawaida ila kwa upande wa kusini mwa jangwa la Sahara ni tz Pekee ndio hujaza uwanjaMm nahis kama Kuna ban flani hivi hasa Egypt
Huyu kocha mjanja alipowapiga bao waarabu akawaachia wacheze mpira ila marufuku kusogea kwake.Mechi ya kwanza ya nusu fainali inayowakutanisha wapinzani wawili Al Ahly na Mamelody.
Kwenye h2h takwimu zinambeba Mamelody
Mechi 5 za mwisho walizokutana, Al Ahly hajapata ushindi wowote zaidi ya kuambulia sare.
Mamelody kashinda mechi 3 huku mechi 2 zikiisha kwa sare
Leo tutaenda kuona kama Al Ahly ataendeleza uteja kwa kukubali kipigo au atafuta uteja kwa kumpiga Mamelody.
Mechi ni saa 10:00 jioni
Mamelodi sundowns hawana home wala away kambi popoteAl ahly wakifikaga Kwao huwa wanabadilika kabsa na Sioni tena nafasi ya Mamelod kusonga Mbele
Mbona walishindwa kubadilika walivyocheza na Simba Sasa.Al ahly wakifikaga Kwao huwa wanabadilika kabsa na Sioni tena nafasi ya Mamelod kusonga Mbele
Si tungeona dhidi ya Simba wakibadilika? Kuna hatari ya kufungwa kule kule kwao kwasababu Al Ahly wakiwa wanashanbulia ni rahisi sana kuwafunga kwa counter attacks, leo walipaki bus muda mwingi sana. Tunaenda kushuhudia mechi iliyochangamka Misri.Al ahly wakifikaga Kwao huwa wanabadilika kabsa na Sioni tena nafasi ya Mamelod kusonga Mbele
Mbona na Simba hawakubadilika? Al Ahly anafungwa kwaoAl ahly wakifikaga Kwao huwa wanabadilika kabsa na Sioni tena nafasi ya Mamelod kusonga Mbele
Nalisubiri hili ndinga.Ndio vitu vya kuburudika hivi.itakuwa bonge la mechi zaidi ya fainali.
Sawa hawakubadilika ila nani alipita ??Mbona na Simba hawakubadilika? Al Ahly anafungwa kwao
Al ahly hawez kufungwa kwao wala kutoa Draw Lazima atashinda Tu, nina wasiwas hii Game itaamuliwa kwa Penati na Al ahly kuingia Fainali,.... Screenshot hii Comment.Si tungeona dhidi ya Simba wakibadilika? Kuna hatari ya kufungwa kule kule kwao kwasababu Al Ahly wakiwa wanashanbulia ni rahisi sana kuwafunga kwa counter attacks, leo walipaki bus muda mwingi sana. Tunaenda kushuhudia mechi iliyochangamka Misri.
Nimekaa pale, Jumatano sio mbaliMamelodi sundowns hawana home wala away kambi popote
Sababu ya kutofungwa wala kutoa sare ipi? Kuna sababu ya kiufundi umeona au ni utabiri wako?Al ahly hawez kufungwa kwao wala kutoa Draw Lazima atashinda Tu, nina wasiwas hii Game itaamuliwa kwa Penati na Al ahly kuingia Fainali,.... Screenshot hii Comment.
Al AHLY hatoboagi ata akiwa cairoMamelodi Wasipoongeza Goli la Pili Mwendo wameumaliza
Kwani ndiyo wanaanza kwendako safari hii?Hawa Mamelod wameshindwa kutumia nafasi vizuri na home ground ilitakiwa wapate goli zidi ya mmoja wajue kabisa shughuli ya Egypt haitakuwa rahisi
Bora kuliko Gamondi na TinhoMamelod n masharo kama kocha wao tu
Angalia h2h lini kamfunga Mamelody Cairo?Al ahly wakifikaga Kwao huwa wanabadilika kabsa na Sioni tena nafasi ya Mamelod kusonga Mbele