Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utozi mwingi hata kama mpira biriani lakini viungo vikizidishwa inakuwa tatizo.Kuna nafasi Mamelody watakuja kuzijutia
Viwango tu sasa kwa mfano Kibu ajitahidi zaidi ya hapo si atabunjika kila sikuTaifa lake Raia wanapenda sana Mpira. Wanaangusha wachezaji wetu tu hawajitumii kwa kiwango kinachotakiwa Hususani Home players.
Kwamba Mamelod atashindwa kupata sare Cairo?Kwa makosa haya ya Mamelody, CAIRO hawachomokki..
Naona ALHY wakinyanyua NDOO
Kama nyie Kolo tu maana ndiyo timu tumewapita mara nyingi kuliko timu zote hapa dunianiIhefu kiboko ya Yanga
Yani katika vitu ambavyo vinanikera kwenye mpira ndio hicho.Utozi mwingi hata kama mpira biriani lakini viungo vikizidishwa inakuwa tatizo.
Makolokolo SC mnakwama wapi sasa kutokuwa kibonde wa Al Ahly hata kama ninyi ni Mwakarobo SC?Facts ya hizi timu mbili
Al Ahly amekuwa kibonde kwa Mamelody anafungwa mara nyingi
Mamelody ana mkosi na fainali yani hana bahati ya kucheza fainali nyingi
Makolokolo SC na Utopolo bado sana kufikia kiwango cha Mamelodi Sundowns, sisi tuendelee kujifariji tu na akina Mzize na Onana [emoji23]Huu mpira unaopigwa hapa unajiuliza hivi Simba ya yanga tutafika kwenye hizi Leo sijui lini.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
[emoji38]Hivi hawa wanaocheza na Mamelodi ni Al ahl kweli [emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!???
Uto wao wanasonga mbele au wanasonga ugali?Simba wanacheza lini nusu fainali yao mkuu
Al ahly hakuna anaenda kupigwa tena na uko cairoHawa Mamelod wameshindwa kutumia nafasi vizuri na home ground ilitakiwa wapate goli zidi ya mmoja wajue kabisa shughuli ya Egypt haitakuwa rahisi
Mshasema Al Ahly ni kibonde wa Mamelodi Sundowns, ulitegemea afungwe kimteremko mechi ya leo ilihali H2H mechi 5 za mwisho kafungwa 3 na kusuluhu 2?Ndio madhara ya kucheza mpira burudani
Uko we na kipa badala ya kushuti unahangaika na visigino.
Endelea kukaliliHao Mamelodi miaka yote hata champions league ni hivyo hivyo, wanaupiga mwingi mwishoni wanatoka
Wameshindwa kutumia chances... Cairo hawachomoki..Sundowns walikuwa wanataka kufunga lingine