FT: AFL: Mamelodi Sundowns 1 Vs 0 Al Ahly | Stadium: Loftus Versfeld | 29.10.2023

Kulikuwa na mawasiliano pale na waliokuwa wanacheck ni watu waliopo kwenye chumba cha V.A.R
 
Huyu kocha mjanja alipowapiga bao waarabu akawaachia wacheze mpira ila marufuku kusogea kwake.
Ahly ni wazuri sana ila game yao pale nyumbani Mokwane anaimaliza mapema sana kwa kuwa level ya beki zake ni nzuri sana na wana viungo wenye kasi.
Dieng na Percy ndiyo game changer na wakibanwa hao timu inapotea mazima.
Nawapa Mamelod 55% kusonga mbele.
 
Al ahly wakifikaga Kwao huwa wanabadilika kabsa na Sioni tena nafasi ya Mamelod kusonga Mbele
Si tungeona dhidi ya Simba wakibadilika? Kuna hatari ya kufungwa kule kule kwao kwasababu Al Ahly wakiwa wanashanbulia ni rahisi sana kuwafunga kwa counter attacks, leo walipaki bus muda mwingi sana. Tunaenda kushuhudia mechi iliyochangamka Misri.
 
Si tungeona dhidi ya Simba wakibadilika? Kuna hatari ya kufungwa kule kule kwao kwasababu Al Ahly wakiwa wanashanbulia ni rahisi sana kuwafunga kwa counter attacks, leo walipaki bus muda mwingi sana. Tunaenda kushuhudia mechi iliyochangamka Misri.
Al ahly hawez kufungwa kwao wala kutoa Draw Lazima atashinda Tu, nina wasiwas hii Game itaamuliwa kwa Penati na Al ahly kuingia Fainali,.... Screenshot hii Comment.
 
Al ahly hawez kufungwa kwao wala kutoa Draw Lazima atashinda Tu, nina wasiwas hii Game itaamuliwa kwa Penati na Al ahly kuingia Fainali,.... Screenshot hii Comment.
Sababu ya kutofungwa wala kutoa sare ipi? Kuna sababu ya kiufundi umeona au ni utabiri wako?
 
Hawa Mamelod wameshindwa kutumia nafasi vizuri na home ground ilitakiwa wapate goli zidi ya mmoja wajue kabisa shughuli ya Egypt haitakuwa rahisi
Kwani ndiyo wanaanza kwendako safari hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…