FT: Agosto 1-3 Simba | CAF Champions League | Estádio 11 de Novembro | 9-10-22

Umeongea kitu cha msingi sana
 
Mkuu hili tulijadili kwa uzuri baadae kama mada kabisa
 
Bocco anaingia Kibu anatoka

Hayo yote yanafanyika dakika ya
 
Mara nyingi timu zinazomilikiwa na jeshi hazina maajabu ktk mpira wa cafcl ni sawa tu Ruvu shooting na jkt Tanzania ndio Kama hyo agusto haziana maajabu siyo timu za kutisha Ni wazi Simba itawapiga vibaya

Hongera wanna lunyasi ,yanga imenikeraa mno na kunisababishia chuki kutawal moyoni

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wale mashabaki waliokua wakisema "atumtaki Barbara atumataki Matola Veron"woote nyinyi hamtaona ufalme wa mungu mpaka mtubu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…