kipanta
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 925
- 1,086
Nahisi kibu ana offer vitu vingi ikiwa ni pamoja na kukaba tofauti na Sakhonaona bora angeanza sakho badala ya kibu ili awakimbize wasiwe wanashuka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi kibu ana offer vitu vingi ikiwa ni pamoja na kukaba tofauti na Sakhonaona bora angeanza sakho badala ya kibu ili awakimbize wasiwe wanashuka sana.
Shida yake hatunzi mali ni mwepesi sana kupoteza mipiraNahisi kibu ana offer vitu vingi ikiwa ni pamoja na kukaba tofauti na Sakho
hilo goli moja sio ushindi eehh au ww ukipigwa goli moja hubebi mimba chap kwa haraka?Uwezekano wa Simba kushinda ugenini ni mdogo, sana sana atapata goal moja
Mamelod yupo ugenini ni dk 20 anaongoza goli 3 bilaaView attachment 2381698
Petro wanatisha aisee
Hatutakiwi kuruhusu goliTusiwazalau Agosto muhimu kuomba Dua tushinde au iwe sare.
Tukitoka Agosto 1-0 sio mbaya
Agosto 2-1 sio mbaya
Maana kazi tutamalizia Taifa
Mamelod yupo ugenini ni dk 20 anaongoza goli 3 bilaa
Halafu nimeshangaa page ya AL HILAL wanawaita Youth [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Jana wavulana walishindwa kazi....
Leo ni zamu ya wanaume kazini..
Mungu Ibariki Simba...
Mungu Tubariki WanaLunyasi...
Mungu Ibariki Tanzania..
#NguvuMoja...
yetu macho dk 90SIMBA INACHEZA LEO TANZANIA NA AFRIKA NZIMA MPKA CAF WANAFURAHA[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Simba Taifa Kubwa, Fanya figisu ila usije TanzaniaWalio Sema Kuwa Angola wana Vurugu na Figisu Figisu…. Ziko wapi?
4-2-3-1Kazi kazi
Mwenda atapata backup ya Inonga na OnyangoMzamiru naona ameanza kutokana na muendelezo wake mzuri aliokuwa nao kwenye mechi za mwishoni, Okwa hata sub hayupo lakini hiyo sio issue
Nakubaliana na Kikosi cha leo kwa 75% japo huyu Israh simuamini sana ila ndio hivyo hakuna nama maana replacement yake ndio majeruhi