Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Kukamiwa inasaidia hata hivyoBongo timu huwa zinakamia sana, haswa zinapocheza na Simba au Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukamiwa inasaidia hata hivyoBongo timu huwa zinakamia sana, haswa zinapocheza na Simba au Yanga
Tatizo ni uongozi wamkumbatiaBocco anaigharimu sana timu. mpira haukai mbele. Hakustahili.
Mitano tena kwa Guarduola MnenePongezi kwako Kocha Mgunda
Simba jamaniii yani sijuti kuwashabikia mnaipa Nchi sifa nje ya mipaka
Alisikika mlevi mmoja wa chang'aa akiropokaJana nilipokuwa nasema mje twisheni leo, pengine hamkunielewa...natumai sasa mmenielewa
Chama wa mechi ndogo..!!Chama hawezi mechi za kimataifa
Nyooooooo
Alishapewa mwaka mmoja, nyumba nzuri, usafiri nkSimba sasa msilete undezi, mpeni timu juma mgunda
Mtabakia na maneno hayohayo.Hao ni Zalan ya Angola, Namungo walijipigia wanavyotaka.
Hao ni Zalan ya Angola, Namungo walijipigia wanavyotaka.
Kesho siendi kazini, najua Bosi hataniambia kitu, hana ubavu huo
HahahahahaChama hawezi mechi za kimataifa
Nyooooooo