Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hilo jina nimelisoma kama KALAPINA na sio KALPANA samahani sana sana, na uniwie radhi and i'd to go an' edit, kumradhi.Kwahyo unajitoa akili kuniita Broo ama?
Acha utani mkuu au majina ya kihindi yanakupa tabu kusoma. Any way kalapina kaka yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hilo jina nimelisoma kama KALAPINA na sio KALPANA samahani sana sana, na uniwie radhi and i'd to go an' edit, kumradhi.
Hahahahah basi ntaanza kukuogopa maana alikuwa katili sana.Acha utani mkuu au majina ya kihindi yanakupa tabu kusoma. Any way kalapina kaka yangu
Ogopa kabisa mkuu ukoo wetu ni hatariHahahahah basi ntaanza kukuogopa maana alikuwa katili sana.
Mashabiki huwa wanajitoa sana ufahamu.Acha roho mbaya, ndio huyu huyu
alifunga akiwa Malawi goli la pili,
Simba kama kweli we mwanamichezo huwa ilishambuliwa sana hasa eneo la kati kukatika
Kibonde utopolo tu na zalanKwani HILAL sio kibonde kama mlivyosema hapo awali?
Loh!Hapa ndo nimejua sasa kweli jana timu ya kina mama ndo ilikua inacheza leo wanaume ndo wapo kazini [emoji848]
Wamejisahau tayali hao lipo lopoKwani HILAL sio kibonde kama mlivyosema hapo awali?
Tangu apopolewe na genta amebadirika sanaHata mimi nimehisi hivyo, huyo jamaa kabadilisha account yake maana si kawaida yake.
Wakikujibu nistueYanga mnaonaje? Sisi twende Sudan [emoji1232] kutetea taifa, nyinyi mcheze na de agosto hapa taifa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]