FT: Ahly 3-0 Medeama : CAF Champions League : November 25, 2023

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Mpira ni moto kuliko kawaida!! Al Ahly wanahaha lakini wamekamatwa vilivyo. Huko Medeama kuna vipaji mno! Golikipa ni mzuri mno!

Kila upande umetengeneza nafasi a wazi lakini hawakuzituia vizuri!! Ni hakika haya ni mashindano ya mabingwa!

Ukilegeza unaweza kupigwa nje ndani mechi zote!! Halafu ujue Al Ahly yuko nyumbani, lakini amekamatika usipime!!

========




Msimamo wa Kundi D katika CAF Champion League
 
Al ahly hajui kutumia nafasi

Mechi zake za super league kati ya simba na pia kati yake na mamelodi ilikuwa hivyo hivyo.

Kazi yake ni kukosa kosa magoli tu
 
hili kundi si masikhara yanga ndio underdog iseee
Hawa mediama sijui walikuwa wamejificha wapi wanapeleka moto hatari..
 
Huyu Kipa wa Medeama Ligi la Africa sio Hadhi yake alifa awe Ulaya huko na wenzake wakina Courtois, jamaa anadaka sio poa Nahisi huu msimu kuna timu kubwa inawez mchukua kama akiendelea kwa kiwango hiki
 
Huyu Kipa wa Medeama Ligi la Africa sio Hadhi yake alifa awe Ulaya huko na wenzake wakina Courtois, jamaa anadaka sio poa Nahisi huu msimu kuna timu kubwa inawez mchukua kama akiendelea kwa kiwango hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…