FT: Ahly 3-0 Medeama : CAF Champions League : November 25, 2023

FT: Ahly 3-0 Medeama : CAF Champions League : November 25, 2023

Mpira ni moto kuliko kawaida!! Al Ahly wanahaha lakini wamekamatwa vilivyo. Huko Medeama kuna vipaji mno! Golikipa ni mzuri mno! Kila upande umetengeneza nafasi a wazi lakini hawakuzituia vizuri!! Ni hakika haya ni mashindano ya mabingwa!! Ukilegeza unaweza kupigwa nje ndani mechi zote!! Halafu ujue Al Ahly yuko nyumbani, lakini amekamatika usipime!!

Acha uongo.... Wewe labda unasikilizia redioni, medeama wamezidiwa, na sasa al ahly wanatafuta goli la 3

Tayari goli 3 kwa 0
 
Huyu Kipa wa Medeama Ligi la Africa sio Hadhi yake alifa awe Ulaya huko na wenzake wakina Courtois, jamaa anadaka sio poa Nahisi huu msimu kuna timu kubwa inawez mchukua kama akiendelea kwa kiwango hiki
Mbona kafungwa magoli yote hayo
 
Huyu Kipa wa Medeama Ligi la Africa sio Hadhi yake alifa awe Ulaya huko na wenzake wakina Courtois, jamaa anadaka sio poa Nahisi huu msimu kuna timu kubwa inawez mchukua kama akiendelea kwa kiwango hiki
Atatufaa kuyo kwenye kuziba pengo la air manula.
Au mnasemaje wana Thiimbaaa.
 
Back
Top Bottom