BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Mpira ni moto kuliko kawaida!! Al Ahly wanahaha lakini wamekamatwa vilivyo. Huko Medeama kuna vipaji mno! Golikipa ni mzuri mno! Kila upande umetengeneza nafasi a wazi lakini hawakuzituia vizuri!! Ni hakika haya ni mashindano ya mabingwa!! Ukilegeza unaweza kupigwa nje ndani mechi zote!! Halafu ujue Al Ahly yuko nyumbani, lakini amekamatika usipime!!
Hatimaye Al Ahly wamepata goli la kwanza! Ila kazi ipo!
Hamfikii Ayoub Lakred (mdaka panzi)Huyu Kipa wa Medeama Ligi la Africa sio Hadhi yake alifa awe Ulaya huko na wenzake wakina Courtois, jamaa anadaka sio poa Nahisi huu msimu kuna timu kubwa inawez mchukua kama akiendelea kwa kiwango hiki
Mbona kafungwa magoli yote hayoHuyu Kipa wa Medeama Ligi la Africa sio Hadhi yake alifa awe Ulaya huko na wenzake wakina Courtois, jamaa anadaka sio poa Nahisi huu msimu kuna timu kubwa inawez mchukua kama akiendelea kwa kiwango hiki
Kama sio jitihada zake leo walikuwa wanafungwa Hata Goli 7Mbona kafungwa magoli yote hayo
Hahahha haya mashindano ya mwaka huu sio poaWydad Casablanca katepeta nyumbani yuko nyuma goli 1
Kazingua shots on target 9 ball poss 80Wydad Casablanca katepeta nyumbani yuko nyuma goli 1
Na mpira umekwisha Wydad kafa nyumbaniKazingua shots on target 9 ball poss 80
Atatufaa kuyo kwenye kuziba pengo la air manula.Huyu Kipa wa Medeama Ligi la Africa sio Hadhi yake alifa awe Ulaya huko na wenzake wakina Courtois, jamaa anadaka sio poa Nahisi huu msimu kuna timu kubwa inawez mchukua kama akiendelea kwa kiwango hiki
Nakazia!! Ila hiyo ni mali ya kugombania!!Atatufaa kuyo kwenye kuziba pengo la air manula.
Au mnasemaje wana Thiimbaaa.
Kabsa anafaa huyuAtatufaa kuyo kwenye kuziba pengo la air manula.
Au mnasemaje wana Thiimbaaa.
Tulikuwa busy mno na ushindi wa goli tano mara tuweke mabango ilikuwa ni kama utoto vileYanga kimsingi sioni akivuka hili kundi. Waarabu wote wanapita bila kikwazo.
Uto waendeleze kipaji cha supu wasikipoteze kitawapeleka mbali.