ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,284
- 19,410
2nd Half....
Here We Go....
Here We Go....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada link ya kuangalia kwa simu.
AahaaaaaAcha tutoke maana haitakuwa sawa na ambaye hakuingia kabisa.
Tutatoka tukiwa tumeionesha dunia mpira wa Tanzania jinsi tulivyo u-inspire.
Tutatoka tukiwa tume wave flag ya Taifa na kuthibitisha kuwa haikuwa makosa kufanya uzinduzi kwenye ardhi ya Tanzania huku mwakilishi akiwa ni Simba.
Tutatoka tukiwa tumeacha alama ambayo itadumu milele na haijikufutika kuwa Simba ambao kikosi chao hakizidi thamani ya 7 Bilioni kilimpeleka putaputa Al Ahly ambaye mchezaji wake mmoja alisajiliwa kwa 12 Bilion.
Tutatoka tukiwa tumeiachia Dunia maswli mengi kwanini Club namba moja Duniani kwa mataji mengi leo hii ikutane na upinzani mkali hivi tena katika ardhi ya nyumbani?
Baada ya hayo yote ndio itapopatikana sababu ya Tanzania kuwa mwenyeji na mfunguzi wa AFCON.
Hajakusudia hiyo,inaelewekaKamkanyga kipa wetu kwanini huyu katumwa sio bure
Wanachelewesha sherehe ha ha haaaHawa al ahly nao Sijui wamekuaje siku hizi