Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka waingie matuta hawa.Wachezaji wa simba wanacheza utadhani wakitoka draw wanapaita wapo wapo kukamilisha ratiba tu
Mkuu kuteseka tena kumetokea wapi? Kwahiyo kuwekana sawa kuhusu goli la ugenini kuwepo au kutokuwepo ni kuteseka? Haya sawa basi kama nateseka wacha tuombee matokeo yaishe sare ya bila bila ili niteseke zaidi.Unateseka ukiwa wapi
Huu msako anaopigwa Simba sio wa kitoto.Hapa tuombe twende kwenye matuta tu ndio pona ya simba leo jamaa wana hasira sana
Wanatuangusha saana waarabu mzee.Waarabu wa wapi hawa hadi saivi awaja mwaga mboga
Mbona hizo sheria zimekaa kifesibuku sana yani sheria ndo hizo tu au ?Mashindano yana goli la ugenini kama ilivyo kwa mashindano ya CAF yalivyo. Sheria za AFL hizo hapo.
Mtolewe mara ngapi?Kama tukitolewa basi natabiri hii ndio itakuwa mechi ngumu kwa Al Ahly
Kwa maana hiyo hakuna Goli la ugenini?Agg ya nini wakati game ni mpya mzebaba?? Wasingeiweka kama haina maana.
Au tusubiri goli likiingia kama ile agg itaongezeka au lah? Maana kwa mujibu wenu ni kua game inaanzaa upyaaaa.
Tafuta TNT sports 2 kwenye simu yako kwa google.Msaada link ya kuangalia kwa simu.
Matuta gani?Hapa tuombe twende kwenye matuta tu ndio pona ya simba leo jamaa wana hasira sana
matatu gani hakuna matuta hapo simba anatoka ikibaki bilabila maana alhaly walishinda mbili huku..Wanataka waingie matuta hawa.
Uto bhanaMatuta gani?
Ya viazi?
Hakuna matuta,ikiisha hivi,simba katokaWanataka waingie matuta hawa.
kwa kumuanzisha boco tu nimegundua kocha hatuna kochaWandugu wana SIMBA wenzangu naomba tusimpangie kocha la kufanya anajitambua na anajua anachokifanya
Sent using Jamii Forums mobile app