Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
🐸Hongereni kwa kuongeza kitu hapo mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🐸Hongereni kwa kuongeza kitu hapo mbele
Ameongeza 6Refa akiongeza dakika 10 Simba anaoga za kutosha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwarabu kani angusha sana
Niko nanyi mjukuu. Nimeminya la kushoto. Mnashinda hata kama ni dk za majeruhi. MNASHINDA LAZIMA!Sasa si uungane nasi[emoji34]
6Dakika 3 zimeongezwa
Jisimamishe.Mwarabu kani angusha sana
Na Simba anatoka pale kuja kupambana na MashujaaMoses Phiri anaingia
Kapombe anatoka
Sio riziki bwana wee ACHA tufe kiume as usuallyNiko nanyi mjukuu. Nimeminya la kushoto. Mnashinda hata kama ni dk za majeruhi. MNASHINDA LAZIMA!
Vita haichagui silahaIhefu anaingiaje hapa tena?
Hutaki mshinde kwani? 😳
Kesho njoo kilingeni nikuague maana litakuwa limevimba kama mimba ya wizi [emoji23]Niko nanyi mjukuu. Nimeminya la kushoto. Mnashinda hata kama ni dk za majeruhi. MNASHINDA LAZIMA!
😆😆😆Nimeminya la kushoto
Unatucheka eehVijana wetu wanakufa kiume, hawaozi wala hawanuki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu tunakuja kumkanda basha ako kule kwenye mashamba ya mpungaNa Simba anatoka pale kuja kupambana na Mashujaa
Ashalaaalalaaaa
AaaahaaaaMara oooh simba tutafika mbali.... Hapo ni wapi. Hapo ni wapiiiiii sasa 😂😂😂