ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mnakufa kiume🤣🤣Unatucheka eeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnakufa kiume🤣🤣Unatucheka eeh
Halafu na siye tunakufinyia kwa ndani November 5Halafu tunakuja kumkanda basha ako kule kwenye mashamba ya mpunga
Kama wale kule kwenye mashamba ya mpunga mpaka mwiko ukawanasiaVijana wetu wanakufa kiume, hawaozi wala hawanuki🤣🤣🤣
Mlisema wiki etiRefa akiongeza dakika 10 Simba anaoga za kutosha
Halafu leo kidogo nipande vigari vya Msata ili nikapaone tu pakoje. Kilinge kingekuwepo ningefika huko na kukuuliziaKesho njoo kilingeni nikuague maana litakuwa limevimba kama mimba ya wizi [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli tunaimani na kombe letu la MwakaroboSIMBA tuna imani nawe
SIMBA tuna imani nawe
SIMBA tuna imani nawe
[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Sent using Jamii Forums mobile app
huku anavimba kwamba ye ni timu kubwa hadi kachaguliwa kushiriki supa kapu kumbe mavi tuNa Simba anatoka pale kuja kupambana na Mashujaa
Ashalaaalalaaaa
Bado hamjasemaWazee wa sare, yaani kazi yenu sare tu..pumbaaf kabisa!!
Mwarabu weeeeMlisema wiki eti
Aahaaa
We finyia kwa ndani na mauno juu kama april 16 mbele kibu dee si kazi yakoHalafu na siye tunakufinyia kwa ndani November 5
Wangeku redirect bila shaka[emoji23]Halafu leo kidogo nipande vigari vya Msata ili nikapaone tu pakoje. Kilinge kingekuwepo ningefika huko na kukuulizia
Kolo'z ze hauz🤣🤣
Yamekuwa hayo tenaOnana ni maku....,