Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Ndio ndio ongeza sautiHapa ingekua ni Yanga wangeshinda hii gemu.... Simba tunacheza kifaza sana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ndio ongeza sautiHapa ingekua ni Yanga wangeshinda hii gemu.... Simba tunacheza kifaza sana....
nimecheka sanaWale waliosema hakuana away goal waje sasa kupiga penalties
Anajifariji,aahaaaUmehamia kwenye mikeka tena
Timu kubwa ni pamoja ihefuMwakarobo fc,halafu wanatamba eti timu kubwa
Bado hamjatoka mpo ukumbini subiri mtangaziwe mtokeMbona sielewii hapa tumetoka au badoo
Umeshindwa nini kumtoa?Al Ahly jina kubwa timu ya kawaida mno.
muhindi yupi mo amaWalijua tunakula 5
Mhindi anachekelea tu
Huyu kocha ni maku tuHii kila siku tumekufa kiume ni USENGE.....
Mmetoka mkuuMbona sielewii hapa tumetoka au badoo
Mpaka mfanyiwe tafrija ya kuwaaga? Huelewi nini hapo?Mbona sielewii hapa tumetoka au badoo
We umedroo naye nje ndaniNgoja tuone Mwezi ujao sio mbali.
Sawa kawawekee hio status waionebaada ya mpira kuisha hii ndo status yangu
Haya banaMpaka mfanyiwe tafrija ya kuwaaga? Huelewi nini hapo?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]