Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuja eti.
Moderators ondoeni comments chafu kama hizi.Onana ni maku....,
na simba kapita raundi inayo fuataH2H ya Simba na Al Ahly hakuna mbabe
Wamefungana mara 2 na sare ni 2
Hata ulipipgwa ule mwiko na ihefu tulicheka sana[emoji23][emoji23][emoji23]hizi mbwa zili cheka sana yanga alipo shindwa kwa goal la ugenini haya kiko wapii
Wanapiga matutaaaaaMbona sielewii hapa tumetoka au badoo
WatulieKiukweli, kutolewa wametolewa lakini somo tumelipata.
Makolo mnaona sheria ya goli la ugenini inavyouma? Wenzenu tulishayapitia kwenye fainali CAFCC, poleni na hongereni.
Unasubiri nini uambiwe utoke au huelewi nini toka njeHaya bana
Match 4 za Kimataifa msimu huu,hakuna ushindi hata wa match moja halafu wanajisifia wao ni timu kubwa
Wazee wanaokufa kiume hawa, sare mechi nne kuna kazi kweli hapo mkuu?Dj lete lile kombe lao lenye korodani
Hii umeniita baada au kabla ya matokeo??? Sisis ndo Simbaa Alhyl kakaaaa...sema kanuni zimembeba....
Wazee wa drooMwakarobo fc,halafu wanatamba eti timu kubwa