Kuimba kupokezana Leo ndo mmekua inachomaKiukweli, kutolewa wametolewa lakini somo tumelipata.
Makolo mnaona sheria ya goli la ugenini inavyouma? Wenzenu tulishayapitia kwenye fainali CAFCC, poleni na hongereni.
Nime kuuliza ?Kwani yanga mliokuwa mnawaponda walitolewaje na kwenye Caf confedation,?
Yaan Mpaka MseemeeeeHii kila siku tumekufa kiume ni USENGE.....
Komenti imejaa uchungu mwingi sana hii.Oooh watakula nne oooh 5 oohh perepete pereteee...
Mpka sasa Simba ndo baba lao....
Tumetoana jasho
Siwadai Simba yangu...
Simba nguvu moyaaaaaaaaa
Kitambo nilishakuambia kuwa muhindi ni mfanyabiashara hawezi kuwa mzembe kama unavyofikiri.Hii nayo ni history sijawahi kuona giant ana odds 20View attachment 2791149
Mpira umeisha na hatimaye nimeteseka kheri yako usiyeteseka.Unateseka ukiwa wapi
Dodoma Jiji wanawasubiri humu.Kuna mi watu ilibeti sijui hali zenu zikojeee
Yani moyo wangu hauna majonzi...hamjatuabisha
Uchungu mnao nyie mlotegemea tutafungwa so far hakuna mbabe..kanuni zimembeba ....Komenti imejaa uchungu mwingi sana hii.
Hizo kauli zilikuwa ni za wasiojua mpira, tangu lini Simba Sc akawa mteja wa team za Egypt.?Oooh watakula nne oooh 5 oohh perepete pereteee...
Mpka sasa Simba ndo baba lao....
Tumetoana jasho
Siwadai Simba yangu...
Simba nguvu moyaaaaaaaaa
Kwa sasa tucheke tu mkuu yajayo yatajijua [emoji23]Mkuu tucheke kwa kiasi, nasi tunakutana nao ujue?
KamuambieNenda wewe ukawe kocha. Dunia ya mpira iliyostaarabika haina matusi ya hovyo kama haya. Sijui ni kizazi gani hiki.