FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

Haijakamilika Mpaka ikamilike.

Leo 24.10.2023 Muda wa saa 11 jioni kwa saa za Africa Mashariki.

Itapigwa Match ya marudiano kati ya hawa mabingwa wa Africa.

Ni Al Ahly ya Misri dhidi ya Simba ya Tanzania.

Ikumbukwe kwenye 1st Leg Iliyopigwa Dar es Salaam 20.10.2023. Timu hizi zilitoka sare ya 2-2.

Tukutane Baadae.

Simba, Nguvu Moja.

Kila la heri Mnyama.

#Nguvumoja

Is it 1700 EAT?
 
Back
Top Bottom