Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Sharauti kwako mtani wangu...usie na heka heka ...HAKUNAAAA! 👏🏼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sharauti kwako mtani wangu...usie na heka heka ...HAKUNAAAA! 👏🏼
I can't thank you enough!Objective analysis...
Extremely smart 👏🏼👏🏼👏🏼
Tau kashikwa game zote mbili, kuna waliokuwa wanadai huko Cairo atakiwasha ila sijaona chochote.Tunawatakia kipigo chema Mwiko nyuma fc hapo mtakapokutana na Percy wenu mliekua mnamshadadia...kwetu katepeta...
Am out
Tausi anazingua sana tangu mechi ya hapa dar na hii ya leo amekua kwenye kiwango kibovuMatokeo hayasemi ukweli wa mpira ulivyokuwa, Ahly Fc walistahili point 3 hii mechi sema bahati haikuwa kwao.
Percy Tau ni overrated player, nimeshangaa amemalizaje dk. 90.
Sio kwa kocha Robetinyo...Tau kashikwa game zote mbili, kuna waliokuwa wanadai huko Cairo atakiwasha ila sijaona chochote.
Bola uwe mjinga kuliko kuwa mbumbumbu.Dj waleteeee wale wa 5
Wapigie nyimbo yao mfululizo tunalipia...
Mi wala siyo mshabiki wa mpira basi tu huwa napenda hekaheka zenu. Kakangu alikuwa shabiki wa simba wale wa kulia, kutokula na kujifungia ndani hata wiki Simba ikifungwa. Nilijifunza kwake kutokuwa na ushabiki wa vile na nilikuwa namzingua tu kwa kujifanya mi Utopolo...Sharauti kwako mtani wangu...usie na heka heka ...
AaahaassWapi leta ushahidi..sas unasema waarabu koko hao wanaochezaga na Yanga?? Hahaha
PIGAAAAA HAAOOOOO MALIZAAAAAAA UAAAAAA PIGAAAAAA HAOOOOO HUYOOOO PIGAAAAAANyie kama mmezoea kutishiwa kutopewa moyo ni nyie na litimu lenu la VILAZA FC....Ahmed Ally endelea hapo hapo ulipoishia unatupa nguvu mashabiki hauko kinyonge...una ari na nguvu...safi sana..
Aaaahaaaaamakolo ili wafike nusu fainali basi hayo mashindano yaanzie nusu fainaliView attachment 2791547
Usije mjini kama hujaoga , simba wameoga na mjini hawaendiMakonda anasema je huko,.
KheeeeeePIGAAAAA HAAOOOOO MALIZAAAAAAA UAAAAAA PIGAAAAAA HAOOOOO HUYOOOO PIGAAAAAA View attachment 2791549
Yani apo Lomalisa asaidiwe tu kukaba na wenzie kule nyuma au option nyingine ni Farid Musa kucheza upande wake kuna kipindi alichezaga km beki wa kushoto na aliiweza vyema ile namba kipindi cha kocha nabi, kuhusu mayele inbd tumsahau tu si wetu tena...cha muhimu kila atakayepata nafasi na afunge magoli yaje kwa mtu yeyote uwanjani sio mpk mipira iende kwa wamaliziaji wa mwisho maana hii ndio iliyokuwa inamfanya mayele awe mchoyo na asiweze kuwaona wenzie waliokuwa kwenye nafasi nzuri zaidi yake na kusababisha timu kukosa kufunga magoli mengi kwenye baadhi ya mechi... yeyote atakayekuwa kwenye nafasi nzuri afunge au akimuona mwenzie yupo kwenye nafasi nzuri zaidi yake ampe afunge.Moloko ana kasi sana shida ni maamuzi. Anakimbia na mpira halafu hajui afanye nini!
Zile mechi za CAFCC kuanzia robo hadi nusu fainali hapa home alizingua sana.
Lakini kwa aina ya wachezaji wa Ahly, sio chaguo sahihi kuanza nae, labda atokee sub.
Hutakiwi kufanya makosa golini mwao. Hapa ndipo ninapomkumbuka Mayele!
Asante mtani usie na mbamba...