FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

Nimekupa history Ili uachane na mambo usiyoyajua Bali tuzungumze Leo Simba imekufa kiume Tena, na tulishasema Simba mechi zao 2 tu wanafurushwa Super cup! Hapo vipi? Tuongee Simba kurudi kwenye vumbi la NBC premier league baada ya kukandwa na kuacha madume ya mamba kuendelea na safari Yao waliyoidandia!
Simba kakandwa mechi ipi, unaujua mpira kweli ?,, alafu historia yenu baki nayo sina interest nayo historia pekee nayoijua ni kwamba Utopolo kapigwa Hamsa na mnyama simba full stop.
 
531a226e-f31b-4b0f-937f-4331cb35b715.jpg

Usiku mwema
 
Hata kama sijasomea ukocha siwezi hitaji matokeo alafu nikamuingiza Onana au miquisone.

Ni kweli mkuu.

Shida ni kwamba akina kibu na saido walikuwa wamechoka sana.

Mala Mia Angemuingiza Mzamiru Kuliko onana

Same Benchi la Simba Bado jeupe.

UNASAJILI Wachezaji 10 wanaocheza ni NGOMA na Chemalone.

Miq Aliingia show off
Kama alivyoanza TAIFA na kuinyima Simba ushindi.
 
Game ya Mamelodi Vs Petro de Luanda.
Inaendelea ni Dakika ya 74'
Sun 0 -0 APL

(On Aggregate
0—2)
 
Back
Top Bottom