FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

Beki ya Yanga bado itabaki kuwa beki bora sana. Wana skills za kutosha za kuzuia hatari. Halafu cha kushangaza, forward hairudi ikipoteza mpira.
 
Hii inonga nayo kichwa cha mwendawazimu tu, fungasha na kapombe wakatafite maisha kwingine
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kuwa uto katolewa, walaaa hata hakuna shidaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…