Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Beki ya Yanga bado itabaki kuwa beki bora sana. Wana skills za kutosha za kuzuia hatari. Halafu cha kushangaza, forward hairudi ikipoteza mpira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full heka heka.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo kucheka kwa zamu
Kikubwa wote wapotee na waganga wao wa CCM akishinda yeyote watatusumbua,,,,,,Cha msingi wote tutoke
Hii ishu ya kwamba Yanga ipite ilikuwa inanikarahisha sana.
Muwe mnatusimulia vizuri magoli, wengine tupo makazini muda huu, hatuna access ya TVKMMK tushakufa
🤣🤣🤣🤣 mnyama ndo ana hali mbaya anafungwa hovyo
Wote tu.eshakuwa mwakarobo Mkuu sasa sijui unamtaja mwakarobo yupi wa Njano au Mwekundu maana wote ni wa KariakooMwakarobo ana liabisha taifa
Jingine ni Kuwa tumekosa Penalty za wazi tunapiga na kumfata Kipa na zingine tumepaisha
Mpira ni sayans...i kidogo kidogo tutafika tu🤣🤣🤣🤣 mnyama ndo ana hali mbaya anafungwa hovyo
Leo mnalo 🤣🤣🤣🤣🤣we hulali? kakojoe ulale utuwache na timu yetu kabla hatujawa wakali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kuwa uto katolewa, walaaa hata hakuna shidaaa.Kauli za Kesho.![emoji2][emoji2]
[emoji117] Mangungu Hatufai.
[emoji117] Bora Manula Angekua Mzima.
[emoji117] Chama Bora Atupishe.
[emoji117] Saido Asinge Anza Kazeka.
[emoji117] Kocha Kaja Katikati ya Msimu.
[emoji117] Serikali ilitukwamisha Toka Mwanzo.
[emoji117] Sisi Robo Ndio Kwetu Nusu Bado
[emoji117]Tumekufa kiume
[emoji117]Shabalala na Kapombe wapumzishwe sasa
Ongeza Lingine…![emoji23][emoji23]
Stream online tuMuwe mnatusimulia vizuri magoli, wengine tupo makazini muda huu, hatuna access ya TV
Ndo magoli tunayofungwaga na Al hly.Hili Goli Tumefungwa Kizembeee sana
Tatizo unatokajeCha msingi wote tutoke
Hii ishu ya kwamba Yanga ipite ilikuwa inanikarahisha sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo raha tupu