FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila leo, tunacho aiseee!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nshachokaa, nataka kulala mapema.
Yaan al ahly wawekee mengii chaap.
 
Kauli za Kesho.![emoji2][emoji2]

[emoji117] Mangungu Hatufai.
[emoji117] Bora Manula Angekua Mzima.
[emoji117] Chama Bora Atupishe.
[emoji117] Saido Asinge Anza Kazeka.
[emoji117] Kocha Kaja Katikati ya Msimu.
[emoji117] Serikali ilitukwamisha Toka Mwanzo.
[emoji117] Sisi Robo Ndio Kwetu Nusu Bado
[emoji117]Tumekufa kiume
[emoji117]Shabalala na Kapombe wapumzishwe sasa

Ongeza Lingine…![emoji23][emoji23]
Jingine ni Kuwa tumekosa Penalty za wazi tunapiga na kumfata Kipa na zingine tumepaisha
 
Kauli za Kesho.![emoji2][emoji2]

[emoji117] Mangungu Hatufai.
[emoji117] Bora Manula Angekua Mzima.
[emoji117] Chama Bora Atupishe.
[emoji117] Saido Asinge Anza Kazeka.
[emoji117] Kocha Kaja Katikati ya Msimu.
[emoji117] Serikali ilitukwamisha Toka Mwanzo.
[emoji117] Sisi Robo Ndio Kwetu Nusu Bado
[emoji117]Tumekufa kiume
[emoji117]Shabalala na Kapombe wapumzishwe sasa

Ongeza Lingine…![emoji23][emoji23]
Tunamshukuru Mama kwa kuonyesha mahaba ya dhati ya Yanga na sio ss
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom