FT: Al-Hilal 1-0 Yanga (Agg 2-1), Yanga yaondolewa Ligi ya Mabingwa Afrika

Mlijipima nao friendly match,unayakumbuka matokeo?
Wao walikuwa full mkoko kama hivi leo na sisi hatukuwa na key players zaidi ya 8, tulimiliki mpira wakapata goal la mpira wa kutenga.

Nakwambia hivi Al Hilal akikutana na Simba Sc mechi za CAFCL anagongwa nje ndani au labda atoe sare kwake huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo Yanga wanashindwa funga kabisaaa...!??
 
Yanga wakisawazisha moja kwa moja nawapa asilimia kubwa ya kupita
 
Hawa wanafungika Yanga wenyewe tu watulize makeke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…