Yule jamaa nahisi hata mechi 3 hajafikisha yupo benchi TU.Alafu kweli...yule sii ndio aliletwa kucheza mechi hizi lakini ndio yupo bench[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] utopwinyo bwana sijui usajili wanafanya wakiwa chooni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
KwikwikwiwkiKuifunga Simba na huku mwiko ukiwa nyuma yao.
Yani nahisi raha leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa watulize mataco wasije wakakung'utwa nyingi
Yaani tumefungwa wanaleta showoffDiarra alikuwa na haja gani kupiga chenga halafu akiona mkabaji anakasi anaamua kuubutulia nje mpira?
Hili nalo hamuoni haja ya kuliweka kwenye moja ya kero za leo?
Simba kwa Yanga ni sawa na pombe ya ngomani unajichotea tu.Halafu akaja Tz kakutana na bahati ya mchawi kukuta mlango wazi. Simba, Azam, Namungo, Mtibwa zote zilikuwa mbovu.
Sasa athubutu msimu huu kutetea ubingwa
Dah watu wanajiligia hela tuu. Unakuwa na wachezaji wakigeni kibao baadala ya kuwa nao watano wa ukweli.Yule jamaa nahisi hata mechi 3 hajafikisha yupo benchi TU.
Sema japokuwa tumewafunga ila mmetukosa kosaYaani tumefungwa wanaleta showoff
Ndio mpka umsajili Aziz k kwa milioni 400/= na mshahara wa Mil 20 kwa mwezi...??Kuifunga simba tarehe 23
Kwisha habari yao...ni kuifunga Simba tu.
Nabi ana masihara sana, mechi muhimu kama hii ni ya kumuacha Azizi ki nyumbani kweli?
Ustar wake akicheza na Simba tuFeisal anatoka tena??
Hii sub sijaielewa
We jamaa MsudaniSema japokuwa tumewafunga ila mmetukosa kosa
Ila ndio hivyo mpira siku zote unamuheshimu fundi
Kwa ttarifa yako Al hilal waliwaheshimu na kuwaacha mcheze mpira wa kfunguka....Mbinu ya kuanguka angukaMara kwa Mara na Ni nzuri San inafah kwa mech za kiafrica sna dkk kumi zilipotwezwa kwa kuanguka anguka tu laiti wangaacha mchezo wao huu wa kuanguka ovyo wangejuta kutufaahamu