Mdaka mishale kila mechi watu wanampasua ameshakuwa pakachaIwe mvua iwe jua, ila mwisho wa siku dakika 90 ndo zinaamua.../
Nadhani itakuwa ni Sudani ya kaliua, ambayo walisema meza wanaenda kuipindua.../
Eti sisi ni klabu kubwa kuliko wale, na ndio maana wamefurahi kupata sare.../
Tuliwadhibiti hatukuwaruhusu watutawale, walipopiga mashuti yalizuiwa na mdaka mishale.../
Mechi ya marudiano hatuna cha kupoteza,tukienda kwao tunapindua meza.../
Uwezo upo maana Hersi kawekeza, sina haja ya kuongea saana maana kila kitu kinajieleza.../
Ata ingekua Madrid isinge pindua Meza, Refa kuwa Nyota wa mchezo sio jambo Dogo kwenye soka. Sasa usajili wa zaidi ya bilioni 6 Manufaa yake ni Nini?
Sasa yanga mrejee kwenye ile kazi yenu ya kupokea wageni.
Uto ni mwiko mbele nyuma.
Ata ingekua Madrid isinge pindua Meza, Refa kuwa Nyota wa mchezo sio jambo Dogo kwenye soka. Sasa usajili wa zaidi ya bilioni 6 Manufaa yake ni Nini?
Tatizo Yanga kazoea Sana kubebwa na waamzi
Nani Ahmedy Arajiga?Simba ambao tunawabomoa kilasiku tuna tumia Marefa?
Simba ata Refa awe Barbara Hana timu ya kupata asare Kwa Yanga.Nani Ahmedy Arajiga?
Ushasema friendlyMlijipima nao friendly match,unayakumbuka matokeo?
Mdomo uliponza kichwaKwani mayele alicheza leo? Ijumaa aliutangazia ulimwengu kwamba lazima leo ateteme
Hapana mkuu, ilikuwa ni Sudan ya TemekeNadhani itakuwa ni Sudani ya kaliua, ambayo walisema meza wanaenda kuipindua.../
Mmezoea kuwafunga makocha wa kizungu safari hii mmewekewa Mgunda Juma mtatambua tu kuwa timu ya kuwafunga ipo. Tena mnapigwa za kutosha mkatetemee chooniSimba ata Refa awe Barbara Hana timu ya kupata asare Kwa Yanga.
Mgunda hajawahi kufungwa na yanga?Mmezoea kuwafunga makocha wa kizungu safari hii mmewekewa Mgunda Juma mtatambua tu kuwa timu ya kuwafunga ipo. Tena mnapigwa za kutosha mkatetemee chooni