FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023

FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023

wengi hamuelewi hili. kuanzia saa sita na madakika ambayo huwa tunaiita mchana (which is a general word), ni muda wa adhuhuri. adhuhuri inaisha saa tisa kamili.

kuanzia saa tisa kamili hadi saa kumi na moja, inaitwa alasiri.

kuanzia saa kumi na moja hadi saa moja, inaitwa "jioni", na hiyo inamaanisha hilo ni "jio la usiku".

nendeni mkawafundishe na wenzenu. kwa bahati mbaya hata maprofesa wa kiswahili pale udsm watashindwa hili swali.
Wewe mwenyewe umepuyanga sana.

Alasiri Ina masaa mawili tu saa 9 na 10 .

Saa 11 hadi saa 1 ni Jioni

Usiku ni saa 2 hadi saa 6

Saa 7 hadi saa 10 ni usiku wa manane.

Saa 11 na 12 ni Alfajiri

Saa1-5 ni asubuhi

Saa 6 ni adhuhuri

Sa 7-8 ni mchana.
 
Wewe mwenyewe umepuyanga sana.

Alasiri Ina masaa mawili tu saa 9 na 10 .

Saa 11 hadi saa 1 ni Jioni

Usiku ni saa 2 hadi saa 6

Saa 7 hadi saa 10 ni usiku wa manane.

Saa 11 na 12 ni Alfajiri

Saa1-5 ni asubuhi

Saa 6 ni adhuhuri

Sa 7-8 ni mchana.
Sawa mkuu
 
Sawa lakini kuchapa timu yenye matatizo kibao sio kipimo cha ubora!! Hakuna sifa ypyote ya kumksukuma mlevi na kumwangusha!
Mlipofungwa na Mazembe na As Vita wakati DRC ipo vitani na waasi wa FDLR na M13 na wengine mbona hatutusema?
Merrek Walipoitoa timu ya Kongo hawakuwaza vita?
Wamecgeza mechi 3 za fitness pale Rwanda lengo lao ni kushindwa?
Mawazo ya mtu mwenye wivu kbs
 
Tunakumbushana tu

Caf club ranking

27. El mareck
67. Power Dynamos
Mkuu hizi mambo tuwaachie wakina Ally Kamwe Juzi National kafa kwa Alger kwenye Super Cup...ambao ranking zao kwenye mpira ni mbali mbali kabisa .
 
Back
Top Bottom