Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Chapa kabisa hao.Sasa wakulaumiwa ni serikali yao kwa kushindwa kuweka hali ya amani uko Sudan. kazi ya Yanga ni kukufuata popote ulipo na kukuchapa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chapa kabisa hao.Sasa wakulaumiwa ni serikali yao kwa kushindwa kuweka hali ya amani uko Sudan. kazi ya Yanga ni kukufuata popote ulipo na kukuchapa tu
Sawa lakini kuchapa timu yenye matatizo kibao sio kipimo cha ubora!! Hakuna sifa ypyote ya kumksukuma mlevi na kumwangusha!Sasa wakulaumiwa ni serikali yao kwa kushindwa kuweka hali ya amani uko Sudan. kazi ya Yanga ni kukufuata popote ulipo na kukuchapa tu
Mwanzo hamkuyasema haya buloo...Sawa lakini kuchapa timu yenye matatizo kibao sio kipimo cha ubora!! Hakuna sifa ypyote ya kumksukuma mlevi na kumwangusha!
Lakini kwani ya uongo?Mwanzo hamkuyasema haya buloo...
Jaman msigombane wote ni wananchi upendo udumuImbecile
jadilini jinsi ya kushida achaneni na yangaSawa lakini kuchapa timu yenye matatizo kibao sio kipimo cha ubora!! Hakuna sifa ypyote ya kumksukuma mlevi na kumwangusha!
Ndugu mchambuzi wa vipimo, Yanga ilimfunga USMA kule kwao Algeria, je na hao USMA kwao wana matatizo gani?Sawa lakini kuchapa timu yenye matatizo kibao sio kipimo cha ubora!! Hakuna sifa ypyote ya kumksukuma mlevi na kumwangusha!
Mbumbumbu mmojawapo huyo kama alivyowahi kusema Rage.Mwanzo hamkuyasema haya buloo...
Kaombe Ada yako!saa kumi ni jioni ndugu,alasiri inaisha saa tisa na dk 59
Kwa hiyo ilichukua kombe?Ndugu mchambuzi wa vipimo, Yanga ilimfunga USMA kule kwao Algeria, je na hao USMA kwao wana matatizo gani?
Kwenye makundi , aongezwe striker mmoja aliye na kasi , Konkoni bado hajaonyesha makaliMudhadhir leo alipotea sana nadhani angekaa Sure Boy pale kwa sababu ya Uchovu mechi ya Stars...Lomalisa nae kacheza vizuri wacha twende makundi huko tukutane na yeyote...
nawaombea utopolo lolote liwakute.
Mzee wa Ankara Muhasibu. Ile thread uwa nacheka sana.
Game imemkataa tu leo, mbona stars hakucheza siku ileMudhadhir leo alipotea sana nadhani angekaa Sure Boy pale kwa sababu ya Uchovu mechi ya Stars...Lomalisa nae kacheza vizuri wacha twende makundi huko tukutane na yeyote...
haina shida.nguvu ya soda mwisho wake tunaujua.wala hamsumbui.ni muda tuDua la kuku halimpati mwewe koro mmoja wewe
*****,mmeanza ahaaaaaSawa lakini kuchapa timu yenye matatizo kibao sio kipimo cha ubora!! Hakuna sifa ypyote ya kumksukuma mlevi na kumwangusha!
Hata tukiwafunga,makolo watasema hao jamaa hawana ubora kama wa msimu uliopitaNataka kundi letu liwe hivi
1-young africa
2-al ahly
3-mamelodi sundown
4-wydad casablaca
Nyasi za bandia basi zile...Game imemkataa tu leo, mbona stars hakucheza siku ile
Kwani tunajadili kuchukua kombe au tunajadili kipimo cha wanaocheza na Yanga? Hoja imewekwa hapa kuwa Yanga kumfunga Al Merrikh sio kipimo cha ubora kwasababu kwao Sudan kuna matatizo, nami nauliza USMA naye si alifungwa tena nyumbani kwao kabisaa, je na Algeria kuna matatizo yapi?Kwa hiyo ilichukua kombe?
Waseme chochote mpira unachezwa sehemu ya wazi Yanga wapo kwenye ubora sasa hivi hawa tunaowafunga na kuwatoa kipindi cha nyuma ndio walikua wanatukwamisha sasa hivi wanakuja kwa tahadhari sana...wale Alger kamfunga na kumkimbiza National wakati kwetu alikua anajidondosha kupoteza muda na walikua kwao...Hata tukiwafunga,makolo watasema hao jamaa hawana ubora kama wa msimu uliopita