kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Al merrekh na dodoma jiji ni sawa
Sawa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Al merrekh na dodoma jiji ni sawa
Au wahamishiwe EPLAhaaaaaaa
Wawe kituko Mara ngapiIla simba mbadilike african super league mtakua kituko
Kolo ongeza sautiAl merrekh na dodoma jiji ni sawa
AahaaaaaImagine uwe shabiki wa simba halafu uwe shabiki wa Man U tena. Hiyo ndio inaitwa Double impact stress pote pote
Mzize bado mzee huyo ni chaguo la 2 au 3 ni vile hatuna Finisher tegemeo, hapo hakuna namna lazima acheze yeyeleo ndio nimeona umuhimu wa mayele. tulikuwa na magoli 4 au 5 pale, tena bure/bila. maxi angepata mtu wa uhakika kama mayele, ingekuwa safi sana. sasa tunaye mzize ambaye akipata mpira hadi aje ageuke adui ashafika. musonda naye ni fifty fifty sio wa kutegemea saaana. aziz ki nafikiri ana siku na siku. ila mayele alikuwa wa kila siku.
Ongeza na makolo na Raja Casablanca hapo hata tukiwa sita hatumuogopi mtuNataka kundi letu liwe hivi
1-young africa
2-al ahly
3-mamelodi sundown
4-wydad casablaca
Group stage ni timu 4 tuOngeza na makolo na Raja Casablanca hapo hata tukiwa sita hatumuogopi mtu
Hapana wapo Dubai kwa DP worldHivi sudan ligi inaendelea?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ongeza na makolo na Raja Casablanca hapo hata tukiwa sita hatumuogopi mtu
Kwa jinsi mfumo wa Gamond, anahitajika "striker" wa kukaa pale katikati (box) ili beki 4&5 wa timu pinzani wasipate kucheza ila kumkaba. Msonda na Mzinze wote wamezoea kutoka nje ya "box" kutafuta mpira. Naamini Konki akichezeshwa atatumia vizuri hizo nafasi za "cross" za Max na Pacome hata za Aziz Ki. Ni muda tu timu pinzani zitasoma zaidi ya 5Gleo ndio nimeona umuhimu wa mayele. tulikuwa na magoli 4 au 5 pale, tena bure/bila. maxi angepata mtu wa uhakika kama mayele, ingekuwa safi sana. sasa tunaye mzize ambaye akipata mpira hadi aje ageuke adui ashafika. musonda naye ni fifty fifty sio wa kutegemea saaana. aziz ki nafikiri ana siku na siku. ila mayele alikuwa wa kila siku.
Mmejua hilo leoTimu haichezi ligi Yoyote hah!
Kwann tusiongee na Caf wapeleke maombi yanga ikacheze UEFA na wakina Man City PSG ndio saiz zake àNataka kundi letu liwe hivi
1-young africa
2-al ahly
3-mamelodi sundown
4-wydad casablaca