Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,426
- 2,845
Bado hujasema mzee makundi tumeenda tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujasema mzee makundi tumeenda tayari
Ndugu, kijiwe kinaitwaje hiki? Utulivu wa kutosha
Mwanangu tulikua tunaangalia mechi 3 kwa wakati mmoja
Bomu limetua mochwariKuna nn hukoooo [emoji16][emoji16][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu sio Kigali ni Khartoum, Sudan.Tumeshinda Tunisia,tukaja ,Congo ,tukashinda Nigeria,tukaja South Africa,nikashinda Algeria na leo Rwanda.
Yanga kushinda ugenini sio kitu cha kushangaza tena.
Msimu huu sio tunashinda tu bali tunashinda na clean sheet.
Aahaaaa,Kuna muda magoli yanaingaia hata huyaoniMwanangu tulikua tunaangalia mechi 3 kwa wakati mmoja
Yanga, simba na Man U vs Brighton
Mmeanza
siku hizi tunaogopwa mpaka watu wanacheza ili kuzuia zile goli 5Tumeshinda Tunisia,tukaja ,Congo ,tukashinda Nigeria,tukaja South Africa,nikashinda Algeria na leo Rwanda.
Yanga kushinda ugenini sio kitu cha kushangaza tena.
Msimu huu sio tunashinda tu bali tunashinda na clean sheet.
Aahaaaa,ishakuwa kawaida yetuTumeshinda Tunisia,tukaja ,Congo ,tukashinda Nigeria,tukaja South Africa,nikashinda Algeria na leo Rwanda.
Yanga kushinda ugenini sio kitu cha kushangaza tena.
Msimu huu sio tunashinda tu bali tunashinda na clean sheet.
MmeanzaAl merrekh na dodoma jiji ni sawa
Kwani Mzize leo amecheza vibaya hadi umtolee maelezo yote hayo?Yanga haikua mpango wa kumtumia Mzize kama mshambuliaji wake namba moja walitaka akue taratibu na acheze bila presha.
Baada ya Yanga kumkosa dk za mwisho yule Mcameroon waliye mtaget ilibidi wamlete Konkon ambaye hajawa fit.
Kocha akawa hana chaguo zaidi ya kumtumia Mzize.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Max Zengeli na Azizi Ki wamekiwasha aisee
Ahaaaaaaasamaki samaki mkuu.. Wananchi wahamishiwe UEFA
Aahaaaa,nani huyo?Kuna mtu kapigwa chenga na Zouzou ad kasusa kabisa [emoji23][emoji23]
saa kumi ni jioni ndugu,alasiri inaisha saa tisa na dk 59MASAHIHISHO
Saa 10:00 Jioni ❌️
Saa 10:00 Alasiri ✅️
yanga Mungu yu pamoja nasi! Ushindi uendelee mpaka wanaotudharau watusalimie kwa heshima! Yani mpaka mchezaji akija kucheza yanga ajisikie fahari na bahati! Amin
AahaaaaaaIla simba mbadilike african super league mtakua kituko