Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Mtafutie kama utamwona hivi sasa😂Usikimbie tu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafutie kama utamwona hivi sasa😂Usikimbie tu uzi
yanga Mungu yu pamoja nasi! Ushindi uendelee mpaka wanaotudharau watusalimie kwa heshima! Yani mpaka mchezaji akija kucheza yanga ajisikie fahari na bahati! Amin
Ila ,🦁huyu mdudu anazidiwa sana na Dynamos.🤸Al merrekh na dodoma jiji ni sawa
ukiwa mitaa ya sinza nishtue tu... yote hiyo empire tuKesho natamani nije kuangalia Formula 1 na Arsenal Fish Market ila nina ratiba ya Sinza 😁😁
Uko Beach ununio mkuu unabahati sijaja huko ningekuja nikujue wewe ni nani??😅😅😅😅😅
Ratiba ikikaa nakuchekiukiwa mitaa ya sinza nishtue tu... yote hiyo empire tu
Nipo Xanadu man. Njoos tule bia maisha sio magumu saaana.Uko Beach ununio mkuu unabahati sijaja huko ningekuja nikujue wewe ni nani??😅😅😅😅😅
Makolo mmeanzaAl merrekh na dodoma jiji ni sawa
Kwahiyo Mshana unatutumia huyu🦁 mdudu atupunguzie bahati yetu au. 🤔
Kaliokote ule,nyie kule Zambia c mmepata dodo chini ya mwembe
Yanga haikua mpango wa kumtumia Mzize kama mshambuliaji wake namba moja walitaka akue taratibu na acheze bila presha.Narudia, Mzize hatoshi kucheza Yanga. Yanga hii ya sasa ni aibu kuwa na mchezaji kaliba ya Mzize.
Sigara kaliRaha mara tatu yaani...
Simba ikifungwa nafurahia, Simba ikifunga nafurahia.
Yanga ikifunga ndio kabisaaaaa[emoji28][emoji28]