Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nimewalaani yeye pamoja na mpenzi wangu wa nje ya twanja MUSONDAHata sijaamini mana tulikalaani mbaya. 😂
Halafu wote ndo wamescore. 😂mi nimewalaani yeye pamoja na mpenzi wangu wa nje ya twanja MUSONDA
SIJUI MAYELE ALIKUA ANAMROGA Sikuhizi kawa wa maanaEbu watuambie ukwel uyu Azizi Ki n m bukinafaso kwel au n m Brazil
Sikuingine ntamlaani mpenzi wangu mpya zouzou na konkoniHalafu wote ndo wamescore. 😂
Hahaha dah nimekuja baharinisamaki samaki mkuu.. Wananchi wahamishiwe UEFA
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Tushamaliza shughuli yetu, hivi makundi wanapanga lini.
Mwendo wa clean sheet.
😅😅😅.. huko sipawezi aisee.. nimezoea sehemu iliyokaribu na kitaaa dk tano nipo chumbani
Kesho natamani nije kuangalia Formula 1 na Arsenal Fish Market ila nina ratiba ya Sinza 😁😁😅😅😅.. huko sipawezi aisee.. nimezoea sehemu iliyokaribu na kitaaa dk tano nipo chumbani