Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Sio kweli, kuna siku nae alikuwa hafungi.leo ndio nimeona umuhimu wa mayele. tulikuwa na magoli 4 au 5 pale, tena bure/bila. maxi angepata mtu wa uhakika kama mayele, ingekuwa safi sana. sasa tunaye mzize ambaye akipata mpira hadi aje ageuke adui ashafika. musonda naye ni fifty fifty sio wa kutegemea saaana. aziz ki nafikiri ana siku na siku. ila mayele alikuwa wa kila siku.