FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023

FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023

leo ndio nimeona umuhimu wa mayele. tulikuwa na magoli 4 au 5 pale, tena bure/bila. maxi angepata mtu wa uhakika kama mayele, ingekuwa safi sana. sasa tunaye mzize ambaye akipata mpira hadi aje ageuke adui ashafika. musonda naye ni fifty fifty sio wa kutegemea saaana. aziz ki nafikiri ana siku na siku. ila mayele alikuwa wa kila siku.
Sio kweli, kuna siku nae alikuwa hafungi.
 
leo ndio nimeona umuhimu wa mayele. tulikuwa na magoli 4 au 5 pale, tena bure/bila. maxi angepata mtu wa uhakika kama mayele, ingekuwa safi sana. sasa tunaye mzize ambaye akipata mpira hadi aje ageuke adui ashafika. musonda naye ni fifty fifty sio wa kutegemea saaana. aziz ki nafikiri ana siku na siku. ila mayele alikuwa wa kila siku.
Stupid analysis from amateur
 
Timu haina kwao, haichezi ligi, ni kuifunga ni sawa na kusukuma mlevi!! Ukijisifu kila mtu atakushangaa!
 
Je huo sio ukweli?
Muone huyu nae....
Timu inacheza huku ikiwaza mabomu yakipigwa nyuymbani unategemea nini?? Timu haishiriki ligi, hapo hakuna match fitness!! Mngefungwatungewacheka lakini mkifunga hakuna la kujisifia!!
 
Je huo sio ukweli?

Timu inacheza huku ikiwaza mabomu yakipigwa nyuymbani unategemea nini?? Timu haishiriki ligi, hapo hakuna match fitness!! Mngefungwatungewacheka lakini mkifunga hakuna la kujisifia!!
Sawa boss wangu.
 
Back
Top Bottom