FT: Algeria 0-0 Tanzania | AFCON Qualifier | Tanzania yafuzu AFCON

FT: Algeria 0-0 Tanzania | AFCON Qualifier | Tanzania yafuzu AFCON

Hongera stars na watz wote. Hii inaitwa scrapping through.... ball possession 19%, pass accuracy 46%
 
"Tunaipongeza serikali ya CCM, tunampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mama Samia Suluhu Hassan...."
Atasikika mwanasiasa mmoja bungeni...
Hakuna shida. Wengine wanapongezwa mpaka na wake zao as long as ni watanzania.
 
Back
Top Bottom