Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawi huu utaisha liniTutafungwa goals 7
We jamaa unaishi Dunia yaani Azam,Startimes,DSTV Bado unaidai serikali ionyeshe mechi😀😀😀Na serikali Haina mpango wa kuonyesha game hata Moja! Tumerogwa
[emoji1787][emoji1787]We jamaa unaishi Dunia yaani Azam,Startimes,DSTV Bado unaidai serikali ionyeshe mechi[emoji3][emoji3][emoji3]
Uchawi ni laana...[emoji1787]Uchawi huu utaisha lini
Watu watabisha.Sub ya Bocco ndio iliyo tuvusha
Kama kuna Ukweli Vile...! Embu Fafanua.......!Sub ya Bocco ndio iliyo tuvusha
Ndio sababu nchi haipigi hatua kwa sababu Kuna watu wa aina hiiStars wakifungwa nitafurahi maana mama yao hatatumia kodi zete kuwapikia pilau ikulu
Hakika....Watu watabisha.
Jamaa anaweza asifunge Lakini huwaghasi sana mabeki.
Mwamnyeto Leo amekuwa Kepteni Bora sana.
Unaambiwa ukitaka ujue mbongo asivyolizima ananza sentensi yako na maneno haya Ila serikali yetu……. Muachie atamaliziaWe jamaa unaishi Dunia yaani Azam,Startimes,DSTV Bado unaidai serikali ionyeshe mechi😀😀😀
Boko ameingia dakika ya 90.Watu watabisha.
Jamaa anaweza asifunge Lakini huwaghasi sana mabeki.
Mwamnyeto Leo amekuwa Kepteni Bora sana.
Yani waarabu wametuwekea mpaka Mahrez... Nasi kwa hasira tutawanyang'anya wajomba zao bandari ya TangaHaya wakina Aucho wakachukue maringi yao walipoyaweka
Swadakta [emoji106]Sema Kibu akijibrush kwenye finishing atakuwa straika wa hatari sana.
Kama siyo Bocco staz wasingetinga aivari kost 😅Sub ya Bocco ndio iliyo tuvusha