pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Asante sana mwananchi, bila juhudi zenu tungekwama tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tu....Afcon natabiri tutapangwa kundi A pamoja na
Wenyeji ivory coast , morocco, tanzania na south africa
Na ndio maana kuna wajinga kama hiviNdio sababu nchi haipigi hatua kwa sababu Kuna watu wa aina hii
Ndio uwezo wake huo, usitegemee maajabu zaidi ya hapo.Sema Kibu akijibrush kwenye finishing atakuwa straika wa hatari sana.
Guno la heri ?!! [emoji15][emoji1787]Duuuh
Zile inne za kwanza hazikuchezwa kwa vurugu, na ulipoanza wakacheza dakika mbili na nusu ukaishaSawa tu....
Dakika 4 za nyongeza zimejivuta weeee...[emoji1787]
Hahah! Uli bet wewe.Algeria 4- Taifa Stars 0.
Nimekaa pale
Bocco kacheza?? Hii kali...Kama siyo Bocco staz wasingetinga aivari kost 😅
Hawa nao tutakuwa nao kwenye mstari mmoja wa kupokea vichapo vikali huko hatua zijazo.Yani waarabu wametuwekea mpaka Mahrez... Nasi kwa hasira tutawanyang'anya wajomba zao bandari ya Tanga
Sijabet mkuu lakini niliangalia tu historiaHahah! Uli bet wewe.
tena mia chache hadi 160 anapata 1 mkuu kweliNafasi mia au unakuza mambo!!??
sio leo mwamnyeto ni bora siku zoteWatu watabisha.
Jamaa anaweza asifunge Lakini huwaghasi sana mabeki.
Mwamnyeto Leo amekuwa Kepteni Bora sana.
PoteLea mbali,ILa tunaenda!Afcon natabiri tutapangwa kundi A pamoja na
Wenyeji ivory coast , morocco, tanzania na south africa
[emoji1720][emoji2788][emoji1732][emoji120][emoji95][emoji7][emoji2956][emoji106][emoji123]Hongera Taifa Star,
Hongera watanzania wote
[emoji1787][emoji2956][emoji2956]PoteLea mbali,ILa tunaenda!