FT: Algeria 0-0 Tanzania | AFCON Qualifier | Tanzania yafuzu AFCON

FT: Algeria 0-0 Tanzania | AFCON Qualifier | Tanzania yafuzu AFCON

Timu imecheza vizuri na wote wamejituma ila Kibu Denis Prosper naweza kusema kwangu alikuwa man of the match.

KUna muda nilikuwa naona kabisa waarabu wakipagawa pale wanapomiliki mpira halafu pembeni wanamuona Kibu.

Ibrahim Backa kafanya ukatili sana eneo la chini, kazima mashambulizi ambayo yalikuwa na hatari mno.

Huyu kuna press aliifanya kimahesabu it was very quickly maana mpinzani alikuwa anataka kupiga cross kuelekea kwenye box ambapo walikuwa washambuliaji wa Algeria.

Bila Backa kufanya pressing ule mpira pengine tungeongea mengine.

Kakolanya amefanya save nzuri lakini licha ya hiyo save bado alikuwa makini sana kuona mipira na kukaa eneo sahihi kwa ajili ya kuzuia hatari iwapo shuti likipigwa.

Mwisho namsifu kocha, kwanza kwasababu game approach tulifanana mtizamo. Mimi mwenyewe nilitaka tucheze kwa kujilinda na kuanza kukabia chini kwenye eneo letu huku tukiwaacha watawale mpira eneo la juu kuvuka box.

Wakati huo tunakuwa na idadi ndogo ya wachezaji eneo la mbele ambao watakuwa wanaenda kukaba mipira na kujaribu kutengeneza counter attack.

Mwisho tumefuzu na ni kitu cha kujivunia cha muhimu ni kukaza tu na kujitoa.

Hata hizo hatua za mbele uwezekano wa kufanya vizuri pia upo.

Mpira nao ni kama vita sio muda wote ushindi unaweza ukaamuliwa kwa ubora wa silaha zako, sometimes morale ina play role yake.

Hivyo hivyo na kwenye mpira, wachezaji wakijitoa kwa asilimia zote basi wanaweza kufanya makubwa kuliko timu yenye wachezaji bora.
 
Algeria vinara wa Kundi F katika kufuzu kwajili ya AFCON watawaalika Tanzania (Taifa Stars) katika mchezo utakaofanyika katika dimba la Annaba huko Algeria.

Taifa Stars yenye alama 7 inahitaji ushindi au sare ya aina yoyote ili iweze kufuzu huku Algeria ikikamilisha ratiba ikiwa na alama zake 15.

Pia Taifa Stars itakuwa inaiombea mabaya Uganda (The Cranes) katika mchezo wake dhidi ya Niger. Ikumbukwe Uganda ina point 4 ikishinda kwa magoli mengi itaweka rehani nafasi ya Taifa Stars.

Mechi zote ni saa 4:00 usiku

Kila la heri Taifa Stars[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]


Hivi kocha wa Taifa Stars anatoka nchi gani vile!!!
 
Timu imecheza vizuri na wote wamejituma ila Kibu Denis Prosper naweza kusema kwangu alikuwa man of the match.

KUna muda nilikuwa naona kabisa waarabu wakipagawa pale wanapomiliki mpira halafu pembeni wanamuona Kibu.

Ibrahim Backa kafanya ukatili sana eneo la chini, kazima mashambulizi ambayo yalikuwa na hatari mno.

Huyu kuna press aliifanya kimahesabu it was very quickly maana mpinzani alikuwa anataka kupiga cross kuelekea kwenye box ambapo walikuwa washambuliaji wa Algeria.

Bila Backa kufanya pressing ule mpira pengine tungeongea mengine.

Kakolanya amefanya save nzuri lakini licha ya hiyo save bado alikuwa makini sana kuona mipira na kukaa eneo sahihi kwa ajili ya kuzuia hatari iwapo shuti likipigwa.

Mwisho namsifu kocha, kwanza kwasababu game approach tulifanana mtizamo. Mimi mwenyewe nilitaka tucheze kwa kujilinda na kuanza kukabia chini kwenye eneo letu huku tukiwaacha watawale mpira eneo la juu kuvuka box.

Wakati huo tunakuwa na idadi ndogo ya wachezaji eneo la mbele ambao watakuwa wanaenda kukaba mipira na kujaribu kutengeneza counter attack.

Mwisho tumefuzu na ni kitu cha kujivunia cha muhimu ni kukaza tu na kujitoa.

Hata hizo hatua za mbele uwezekano wa kufanya vizuri pia upo.

Mpira nao ni kama vita sio muda wote unaweza ukaamuliwa kwa ubora wa silaha zako, sometimes morale ina play role yake.

Hivyo hivyo na kwenye mpira, wachezaji wakijitoa kwa asilimia zote basi wanaweza kufanya makubwa kuliko timu yenye wachezaji bora.
Bacca ni mtu sana anajua kukaba na ugomvi anajua vile vile huyu afande
 
Dah Simba wangecheza kama hivi na kwa takwimu hizi nadhani wiki nzima wachambuzi wangesema mengi saaana bila kujali matokeo ya mwisho yakoje
 

Attachments

  • 20230908_010253.jpg
    20230908_010253.jpg
    35.7 KB · Views: 3
Back
Top Bottom