Anti-monitor
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 451
- 642
Huko Ivory coast tumaliza point 0 goal difference -5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa positiveHuko Ivory coast tumaliza point 0 goal difference -5
Na sisi tumejanjaruka mkuuMbinu za medani za muda wa nyongeza....
Bacca anasukumwa kidogo na kujirusha [emoji1787]
Wachezaji wetu wanahamaki(zuga) na kureact dhidi ya kusukumwa BACCA [emoji1787][emoji1787]
Kocha wetu anarusha chupa za maji ndani....[emoji1787]
All and all nitashuhudia fainali za pili za AFCON ndani ya maisha yangu alhamdulillah [emoji120]
Umeanza upumbavu mapema namba hii?Huko Ivory coast tumaliza point 0 goal difference -5
Sio tunamalixa ...sema mtamaliza..Huko Ivory coast tumaliza point 0 goal difference -5
Karia hataki kufeli kote, kaona hata akipunguza wageni kwenye ligi yetu bado wazawa hawawezi lisaidia taifa, ona mtu kama mzize leo alikuwa anafanya nini uwanjani? Karia karuhusu wageni wengi matokeo yanga anacheza fainali caf simba anashiriki super leagueNa huu ndiyo ukweli mchungu! Kama tumeshindwa kuwa na professional players wengi nje wa kuja kulisaidia Taifa kwenye mechi kama hizi, basi bora tukapunguza tu idadi ya wachezaji wa kigeni kwenye ligi yetu.
Shida watu wamebeti mihela mingi na kumpa Algeria ushindi,mikeka imechanikaTaifa stars imetutoa kimasomaso Watanzania kwa kufuzu AFCON 2023 baada ya kutoka suluhu kule Algeria. Chakushangaza ni kuwa hakuna shamrashara kama vile wengi hawajafurahi. Ni kwann jaman?? Ebu tuchangamke basi na tuandae mapokezi ya kusisimua kwa heroes wetu
Kwani mafuta yamepatikanaWatu washazoea majonzi kila siku na walishapoteza Imani na Timu yao,Watu walitaka Algeria apate chochote kitu[emoji1787][emoji1787]
Kwani uganda sio mweusi? Huoni walikuwa wanamsaidia uganda hapo kwa kumuingiza mahrezWaarabu wana roho Mbaya sana, wanataka kumuingiza Mahrez, yani hawa watu siyo kabisa.
Ndio utashangaa kuna watu huwa wanadhani Mwarabu ana urafiki na mtu mweusi.
Labda ww na mke wako au mme wakoTaifa stars imetutoa kimasomaso Watanzania kwa kufuzu AFCON 2023 baada ya kutoka suluhu kule Algeria. Chakushangaza ni kuwa hakuna shamrashara kama vile wengi hawajafurahi. Ni kwann jaman?? Ebu tuchangamke basi na tuandae mapokezi ya kusisimua kwa heroes wetu