Wanapigiwa mpira mkubwa wa kibingwa.Daaa hii ni ufaransa au kunakorogwaa..
Tuko hapa tumelowa [emoji23][emoji23][emoji23]Waliobeti ufaransa mko wapi?
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃTuko hapa tumelowa [emoji23][emoji23][emoji23]
๐๐๐๐ ๐Kimeumanaufaransa anatia aibu Dunia
Morocco wenyewe waliwapigia mpira mwingi Sana , wataongezwa lingineUfaransa labda washinde njaa, kombe linaenda Argentina.
Go go MessiiiGo go Argentinaa
LAPULGAKing LEO
Mchezaji bora kuwahi kutokea dunianiGo go Messiii
Wewe mpuzi acha kutuchafuria mazingiraArgentina akibeba kombe nahara hapa na kimara
Usinambie messi ameenda na nyau uwanjani kama simba?๐Daaa hii ni ufaransa au kunakorogwaa..
Finali ilikuwa Kati ya Argentina na Netherlands mpira ulikuwa mwingi SanaFinal nzuri ni wapige matuta, hii inaisha kizembe tu dk 90 imeisha hiyo, fina gani imekosa amsha amsha ishiiiiiy
Oyooo,nice name,cute face and good performance๐LIONEL MESSI LA PULGA MWAMBA MNYAMA MTU HATARI SIMBA ๐๐๐๐๐