OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Uto hawewezi kuwa na member makini kama GOATGreatest Of All Time wewe ni Yanga au Simba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uto hawewezi kuwa na member makini kama GOATGreatest Of All Time wewe ni Yanga au Simba?
Nshasemaga yanga akicheza na majambazi fc ntakua jambazi mkuu, na uto akicheza na wachawi fc mimi siku hiyo ntakua kigagula kiongozi.Siwezi kuiombea Yanga ushindi hata nikiwa marehemu. Bamako tuondolee hii kelele
Kila la heri timu la kwanza kuanzishwa Nchini Tanzania na lenye makombe mengi ya kutosha.Ni jumapili tulivu, wapenda kandanda tunakutana tena hapa jukwaani kushuhudia mechi za Kombe la Shirikisho Africa.
Leo katika kundi D, AS Real Bamako ya Mali inawakaribisha wawakilishi wa Tanzania Young Africans SC katika dimba la Stade Modibo Keita wenye uwezo wa kuchuku watazamaji 35,000. Uwanja hui umepewa jina la aliyepata kuwa Rais wa kwanza wa Mali.
Ikumbukwe AS Real Bamako, bado inatafuta ushindi wake wa kwanza, mara baada ya kufungwa mchezo wa kwanza na kudroo mchezo wa pili huku ikiwa na alama 1.
Kwa upande wa Young Africans, watashuka dimbani wakiwa na alama 3 baada ya kupoteza mchezo wa kwanza kisha kushinda mchezo wa pili dhidi ya TP Mazembe wiki moja iliyopita.
Kama mjuavyo kwa mpira wa Afrika, timu iliyopo nyumbani ina nafasi kubwa ya kupata ushindi, je AS Real Bamako wataweza kupata ushindi wao kwanza? Au Yanga wataendeleza ushindi?
Mechi itapigwa Saa 1:00 Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki, na kuwa mubashara kupitia, ZBC2 ya AzamTv na Variety 3 chaneli 228 ya DStv.
Live updates, utani wa hapa na pale, tambo na majigambo yote basi tukutane kwenye uzi huu...
Kuna mtu alikuomba uiombee ushindi? Yanga inashinda kwa uwezo wake uwanjani, na siyo kwa kuombewa na kiumbe kama wewe.Siwezi kuiombea Yanga ushindi hata nikiwa marehemu. Bamako tuondolee hii kelele
Huyo ni kolo pro maxGreatest Of All Time wewe ni Yanga au Simba?
Leo ni real Bamako 1-2 Young AfricansKila la heri wananchi wenzangu leo tunashinda 4-1
Hapo kwa Man UTD tupo pamojaYaani niache kuangalia Man Utd akitwaa ndoo eti niangalie utopolo wakinyooshwa🤣🤣🤣
Hapo ndipo unapokosea ,wote washinde ndo itakuwa poaIkiwa Man U atatwaa ubingwa basi itakuwa furaha kuu kwangu ikiwa ubingwa huo utaendana na kipigo kwa Vyura Fc .
Bamako fanya jambo jumapili yangu iwe sawa .
Saa sita nitaenda kunywa pombe ili niwezw kuisikia sauti ya nafsi yangu juu ya hii mechi stay tuned nitakuja na matokeo ya leo .
Bravo 👏👏Leo ni real Bamako 1-2 Young Africans
AhahhahahKila la kheri uto japo mkifungwa nitafurahi zaidi