Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kinyume nyume fc, acha wenge, wanaume wafanye yao.Wanangu wa real Bamako hao wanyonyeni vinyeo hao kenge mana wanaupenda sana huo mchezo.
FT: BAMAKO 2 VS 0 VINYEO FC
MUNGU IBARIKI AFRIKA NA KILA LA KHERI REAL BAMAKO.
Kumbe Bamako ni scorpio. Embu tunyofoleeni macho ya hawa vidomodomo.View attachment 2530353
Kila la kheri Bamako timu yangu pendwa toka utotoni
We kinyume nyume fc, usituletee nuks humu.Gongowazi [emoji196] anapigwa na Real Bamako.
Dawa ya scorpion si unaijua bosi,ni kung'oa ule mwiba wake tu,kazi kwishaKumbe Bamako ni scorpio. Embu tunyofoleeni macho ya hawa vidomodomo.
Wakikukosa wewe wanaweza kuniuliza mimi. Nipo tayari kuwajibika kwa hilo.Real Bamako wasiposhinda niulizwe mimi
Mtaung'oa kwa kutumia nini? Timu yenyewe haijulikani nembo yake ni nini, au ni jembe na nyundo?Dawa ya scorpion si unaijua bosi,ni kung'oa ule mwiba wake tu,kazi kwisha
Usitudanganye wewe ni mwnathimbaaa🦁Kila lakheri AS Bamako timu yangu tangu nazaliwa.
Washinde waende wapi ?Hapo ndipo unapokosea ,wote washinde ndo itakuwa poa
Sawa..!!Real Bamako wasiposhinda niulizwe mimi
Kombe la washirikishajiKombe la losers
safi japo umeme hakuna tunaomba muda huo uwepoNi jumapili tulivu, wapenda kandanda tunakutana tena hapa jukwaani kushuhudia mechi za Kombe la Shirikisho Africa.
Leo katika kundi D, AS Real Bamako ya Mali inawakaribisha wawakilishi wa Tanzania Young Africans SC katika dimba la Stade Modibo Keita wenye uwezo wa kuchuku watazamaji 35,000. Uwanja hui umepewa jina la aliyepata kuwa Rais wa kwanza wa Mali.
Ikumbukwe AS Real Bamako, bado inatafuta ushindi wake wa kwanza, mara baada ya kufungwa mchezo wa kwanza na kudroo mchezo wa pili huku ikiwa na alama 1.
Kwa upande wa Young Africans, watashuka dimbani wakiwa na alama 3 baada ya kupoteza mchezo wa kwanza kisha kushinda mchezo wa pili dhidi ya TP Mazembe wiki moja iliyopita.
Kama mjuavyo kwa mpira wa Afrika, timu iliyopo nyumbani ina nafasi kubwa ya kupata ushindi, je AS Real Bamako wataweza kupata ushindi wao kwanza? Au Yanga wataendeleza ushindi?
Mechi itapigwa Saa 1:00 Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki, na kuwa mubashara kupitia, ZBC2 ya AzamTv na Variety 3 chaneli 228 ya DStv.
Live updates, utani wa hapa na pale, tambo na majigambo yote basi tukutane kwenye uzi huu...
kajambeUtopolo wanaenda kutepeta
Huyo jamaa ni MWEHU na anajulikana hadi MlLEMBEKuna mtu alikuomba uiombee ushindi? Yanga inashinda kwa uwezo wake uwanjani, na iyo kwa kuombewa.