LeBron TZ
Senior Member
- Sep 26, 2018
- 176
- 207
Uzi umeanzishwa kwa ajili ya timu mbili zinazo kwenda kucheza muda si mrefu ila naona kuna timu nyingine ya tatu ambayo haiuhusiki ndio wamejaa na dua zao na kupiga maombi kweli kweli. Daaah, wasije wakawa disappointed.
Wananchi wenyewe na timu yao naona wametulia tu, wala hawajibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wananchi wenyewe na timu yao naona wametulia tu, wala hawajibu.
Sent using Jamii Forums mobile app