Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh halafu kafungiwa nyumbani kwake, sijui kama kule Tunisia nako anatoka salama.Haya uto mshinde kibonde wenu mazembe kapokea kichapo
Naona kikosi kile kile kilichocheza na Tp Mazembe na kuibukuka ushindi.
Kuna haja ya maadimini kufungia wajinga wa namna hii.Wanangu wa real Bamako wanyonyeni vinyeo hao kenge mana wanaupenda sana huo mchezo.
FT: BAMAKO 2 VS 0 VINYEO FC
MUNGU IBARIKI AFRIKA NA KILA LA KHERI REAL BAMAKO.
Lililowashinda hata kufika nusu. Sio pa mchezo huku, watu mpaka wanawasha moto viwanja vya watu.Kombe la loosers
Hata katika ile mechi na Tp Mazembe haukuiombea Yanga ushindi ila ikashindaSiwezi kuiombea Yanga ushindi hata nikiwa marehemu. Bamako tuondolee hii kelele
Kimataifa mna kombe lipi?Gongowazi [emoji196] ikifikia hatua hii mambo yanakuwa mazito kwao, wanakuwa hawana uwezo kwenye michuano ya Kimataifa, leo anapigwa na Real Bamako
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣Kila lakheri AS Bamako timu yangu tangu nazaliwa.
Greatest Of All Time ni taasisGreatest Of All Time wewe ni Yanga au Simba?
Ila Haji Manara kweli Ni mastermind.Kombe la loosers
Kwani CAFCC washiriki kama Yanga walitokea wapi? Baada ya kushindwa Club bingwa unatupiwa shirikisho.Ila Haji Manara kweli Ni mastermind.
Aliwaaminisha makolo/Madunduka kua kwa mkapa hatoki mtu hata aje Barcelona au Real Madrid na Kweli wakaamini.
Akawaaminisha pia CAFCC ni kombe la ma losers na wao kweli wanaamini.
Kweli Haji ni full package.
Sent using Jamii Forums mobile app