Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #121
Wananchi hawapo kwenye uzi wanasikilizia kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
leo unabatizwa upya na utaishangilia dar es salaam young africanKila lakheri AS Bamako timu yangu tangu nazaliwa.
yanga hii si ya kusikilizia mkuu, yanga inakupa uhakika wa ushindi una anzaje isikiliziaWananchi hawapo kwenye uzi wanasikilizia kwanza
kweli hovyo ila zile za jana ni hovyoooo zaidiKweli hii ni confederation! Yani timu zinazocheza sasa za hovyo daaah
Me nimesema fact na taste ya mechi wala sina ubaya na Yanga.kweli hovyo ila zile za jana ni hovyoooo zaidi
Kweli hii ni confederation! Yani timu zinazocheza sasa za hovyo daaah
fact hahahahahahahhaaMe nimesema fact na taste ya mechi wala sina ubaya na Yanga.
Mechi haina mvuto kabisaaa, nadhani na level za timu zote pia,haivutii kuangalia.
Na hivi hamna mashabiki ndo kabisaaa
anaye butua nani yanga ama bamakoTimu za Butua butua uwa sizi kubali
Mechi hii na ya jana ile ya Jana ilikuwa Mbovu kweli kweli.Me nimesema fact na taste ya mechi wala sina ubaya na Yanga.
Mechi haina mvuto kabisaaa, nadhani na level za timu zote pia,haivutii kuangalia.
Na hivi hamna mashabiki ndo kabisaaa
Kama ya jana.Kweli hii ni confederation! Yani timu zinazocheza sasa za hovyo daaah
Waongeze na 'utu'.AS Real Bamako wanaonekana wana utulivu
Hii ni kweli, labda watabadilika muda unavyozidi kwenda.Me nimesema fact na taste ya mechi wala sina ubaya na Yanga.
Mechi haina mvuto kabisaaa, nadhani na level za timu zote pia,haivutii kuangalia.
Na hivi hamna mashabiki ndo kabisaaa