FT: AS Real Bamako 1-1 Young Africans | CAF Confederation Cup | Stade Modibo Keita | 26.02.2023

Kwa mujibu wa taarifa zilizonifikia muda huu kutoka Mali ni kwamba yule striker kiboko wa Bamako ndio anaamka muda huu.

Unaweza kujiuliza kwanini kuamka kwake kuwe ni big agenda?

Ishu ni kwamba hajaamka kutokea kitandani, ameamka kutokea kwenye swimming pool naskia alilala chini ya maji akitafuta pumzi
 
Kila la heri timu la kwanza kuanzishwa Nchini Tanzania na lenye makombe mengi ya kutosha.
 
Ikiwa Man U atatwaa ubingwa basi itakuwa furaha kuu kwangu ikiwa ubingwa huo utaendana na kipigo kwa Vyura Fc .

Bamako fanya jambo jumapili yangu iwe sawa .

Saa sita nitaenda kunywa pombe ili niwezw kuisikia sauti ya nafsi yangu juu ya hii mechi stay tuned nitakuja na matokeo ya leo .
 
Hapo ndipo unapokosea ,wote washinde ndo itakuwa poa
 
Gongowazi [emoji196] ikifikia hatua hii mambo yanakuwa mazito kwao, wanakuwa hawana uwezo kwenye michuano ya Kimataifa, leo anapigwa na Real Bamako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…