Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mbumbumbu wote hawapaswi kufurahi sababu wana ufinyu wa fikra.Inamaana ww ulipenda kuona dunia nzima wanachukia au?
Kupigana na mlevi mkatoshana nguvu ni tofauti na kupigwa na boxer mzuri.Niwakumbushe tu Yanga ana point 4 na anashika nafasi ya pili kwenye kundi bila kusahau ana faida ya michezo miwili ya nyumbani.
Umeshamaliza kufanya maombi ya Horoya asimfunge Raja? Muda huu unaotumia kuandika haya ungejikita katika kufanya maombi ya timu yako ya Simba. Hasa kwenye mechi ya Horoya vs rajaHakuna aliyefurahi Sisi kama WaTz..!
Kinachotusikitisha Zile Beki zetu Fupi Fupi zitaigharimu Timu Mpaka lini?
Hivi Robo fainali tutatoboa au hapa tulipo 'Makundi Shirikisho' tutaishia hapa hapa..?
Je tungekuwa CL ingekuwaje..? Tusijifanye hamnazo,Tutafakari wote!
Huyo sio mchambuzi ni Uto lia lia pengine kuliko hata weweKwa wacha-mbuzi wenu uchwara hao ambao tuliwaziba mdomo katika mechi ya Club Africaine vs Yanga na Yanga vs Tp Mazembe
Na Monastir nao vipi kama hawa Wamali wabovu vipi waarabu waliweza kumfunga hawa wa Mali?Kupigana na mlevi mkatoshana nguvu ni tofauti na kupigwa na boxer mzuri.
UTOPOLO FC imepigana na kutoshana nguvu na walevi wa Mali.[emoji1787][emoji1787]
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Kabisa, ilifaa mshinde hii gameLazima watajirekebisha, ikitokea wamefungwa na MONASTIR game ijayo kidogo utaleta unafuu kwetu, lkn mentality ya kutafuta sare imetuangusha, game ilikuw Nyepesi kabisa.
Huyu boya tu hajui mpira na ana mihemko tu....mechi ya pili ya africaine alisema nabi abaki huko huko baada ya matokeo aibu ikamshika.Nikamuonaga ni kiazi kama viazi wengine tu.Msome Zuzu hapa, huyu ni Uto mwenzako View attachment 2531062
Na uta agushwa sana msimu huuKwa kweli Bamako wameniangusha
Una PhD ya miwashoIshu ni kuifatilia ukiwa na lengo gani
Tunapenda mnavyofungwa tuwe tunaona, hatutaki mambo ya kusimuliwa
Cowards ndio mida yenu hiiUna PhD ya miwasho
Labda kama utaingia kuwasaidia wewe na familia yako nzima.Hata usiwape Kichwa, Mechi ya marudio wanapigwa .
Wanapigwa Mechi ya marudio.
Si ndo hapo yaani walifungwa 3 na vibonde??afu wamedraw kweli uto ni uto tuuuIlifungwa na Tp Mazembe bao 3-1 ambayo ni kibonde
Mali hakunaga mpira kaka,huko kuna wachezaji wazuri tu ila watu hawapendi soka kama hukuSijui Kwann hakuna mashabiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shougaaa angu hili povuuu vipiiiii?Kuna mtu alikuomba uiombee ushindi? Yanga inashinda kwa uwezo wake uwanjani, na siyo kwa kuombewa na kiumbe kama wewe.
Naonaa umepata kijora cha chui chui, evee uwage unauliza kwanzaaa.Halafu hatunaga habari za kutafuta sare sisi sio wa sare yani....nasema hiviii sare za vijora hazituhusu